Mzazi utarajie nini kwa mtoto baada ya kujifunza?
Lengo kuu la kumpeleka mtoto shule ni kujifunza. Katika kujifunza huko wazazi, walezi na jamii kwa jumla tunatarajia mabadiliko chanya kwa mtoto ambayo yanajengwa na uelewa na maarifa anayoyapata mtoto kutokana na kujifunza huko.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Jinsi gani unashiriki katika kujifunza kwa mtoto wako?
Je unashiriki vipi katika kujifunza kwa mtoto wako katika mwaka mpya wa masomo?
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mtoto ajeruhi mzazi kwa panga
MKAZI wa kijiji cha Ndala, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, Andondile Mwasamlagila (50) amenusulika kufa baada ya kucharangwa na mapanga na mtoto wake, Yuda Mwasamlagila kutokana na ulevi wa kupindukia....
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Unastahili kumsimamia mtoto wako kujifunza haya
Yapo masuala muhimu, ambayo kama mzazi unapaswa kuyazingatia katika malezi ya mtoto wako. Ikiwa mambo hayo yatasimamiwa vizuri ni wazi mtoto wako atapiga hatua vizuri katika ukuaji wake na hata kufikia kuwa mtoto mwema.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4UzYNrXQ2L5K0tqkszp2MHiue34nOUFfxlNjpfXqzWB8eq5hfphH9dvv1UvVrjsN*6K*0P2zCXbHTHyQWA4137o/julianadidone3.jpg)
MZAZI UMEHARIBIKA, UTAMNYOOSHA VIPI MTOTO?
Jamani mbona tunajisahau na kuamini kabisa kinachotokea leo tunaonewa. Mzazi jamani anazungumza mpaka mdomo unataka kupasuka lakini mtoto ndiyo kwanza kama katiwa moto anaambiwa afanye. Juzi nimemkuta mama mtu mzima akitokwa na machozi baada ya mabinti zake kushindwa kumsikiliza kila alilokuwa akiwaambia, lilikuwa likipitia kulia na kutokea kushoto.Nilipofika aliniomba nimsaidie kuwaeleza wanaye ili wamwelewe. Ni kweli hii ndiyo...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
Mtoto afanyiwa unyama na mama yake mzazi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/mwaruanda-December19-2013.jpg)
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita amefanyiwa visa vya kinyama na mama yake mzazi, ambaye anadaiwa kumjeruhi vibaya kwa kumchoma moto mikono yake na kisha kumfungia ndani kwa siku nne akiugulia majeraha bila kutibiwa wala kula chakula.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, mama aliyefanya ukatili huo (jina linahifadhiwa) ni mkazi wa mtaa wa Eden, Manispaa ya Sumbawanga, mkoani hapa.
Inadaiwa mama huyo...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s72-c/Trump.jpg)
MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s640/Trump.jpg)
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi
Mwanafunzi wa darasa la tatu Shule ya Msingi Majengo, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga amelazwa katika Hospitali ya wilaya baada ya kunusurika kifo kutokana na jaribio la kuchinjwa na baba yake mzazi.
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mzazi unamwitaje mtoto wako panya, mjusi, paka?
Unashtuka? Kuna mtu anaitwa Panya Mjusi. Panya ni jina lake na Mjusi ni la baba yake. Kwa miaka zaidi ya 20 sasa ameendelea kutumia majina hayo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania