MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s72-c/Trump.jpg)
DONALD TRUMP
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo28 Sep
MJUE HASHIM RUNGWE MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHAUMMA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2862138/medRes/1112855/-/mua0f4/-/pic+hashim.jpg)
Hashim Rungwe Spunda, ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania akifanya kazi zake kama wakili binafsi. Alizaliwa tarehe 01 Januari 1949 katika eneo la Ujiji, mkoani Kigoma (Ametimiza miaka 66 mwezi Januari mwaka huu).
Hashim alianza elimu ya msingi katika shule ya msingi Kipampa iliyoko mkoani Kigoma kati ya mwaka 1959 – 1966 na akajiunga na masomo ya sekondari katika Shule ya Sekondari ya Chuo Kikuu cha Cambridge kati ya mwaka 1967 – 1969 na kuhitimu kidato cha nne, kabla ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
9 years ago
Vijimambo26 Sep
MJUE MGOMBEA URAIS ANNA MGHWIRA KUPITIA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
![](https://scontent.cdninstagram.com/hphotos-xaf1/t51.2885-15/s320x320/e15/11350896_934831816583429_401382035_n.jpg)
Mgwira alianza safari ya kielimu katika Shule ya...
9 years ago
Michuzi05 Sep
9 years ago
Mzalendo Zanzibar09 Oct
Mjue M.Seif — Mgombea urais kwa ticket ya CUF
Salma Said Nipo Kisiwani Pemba ni saa 12 asubuhi naingia garini kutoka Chake Chake naelekea Mtambwe ni kilomita 34 ni mwendo wa kasi ili nifike mapema, kila upande ninapoangaza macho yangu yanakutana na miti mingi sana […]
The post Mjue M.Seif – Mgombea urais kwa ticket ya CUF appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s72-c/ndayish.jpg)
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s400/ndayish.jpg)
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s72-c/lowasa.jpg)
MJUE EDWARD LOWASSA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA ANAYEBEBA BENDERA YA UKAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s1600/lowasa.jpg)
Alisoma Shule Ya Msingi Ya Monduli (1967-1971), Shule ya Sekondari Arusha Kwa Kidato Kwa Kwanza hadi cha nne (1967-1971) na Shule ya Sekondari Milambo kwa kidato cha Tano Na Sita (1971-1973).
Ana Shahada ya Elimu na Sanaa kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es
Salaam Aliyohitimu Mwaka 1977, Na Shahada ya Uzamivu Katika Maendeleo kutoka Chuo Kikuu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR6XBaoLfgLgRstqWzf38Z11yqo7cF-hvyifYsGP5nDSCg76JlFg4vZe7ZhEFzDdmtXgv5b6sstikYWmeuShHVFa/JOHN.png)
MJUE KWA UNDANI MGOMBEA URAIS WA CCM, MHE. JOHN POMBE MAGUFULI