Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MJUE MGOMBEA URAIS ANNA MGHWIRA KUPITIA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO

Anna Mghwira ni Mwenyekiti wa kitaifa wa chama kipya cha siasa, ACT – Wazalendo. Alizaliwa Januari 23, 1959 katika hospitali ya Mkoa wa Singida, Kata ya Mungumaji, Kitongoji cha Irao Manispaa ya Singida Mjini. (Januari mwaka huu alitimiza miaka 56). Baba mzazi wa Anna alikuwa diwani na kiongozi wa Tanu kabla ya CCM hadi mwaka 1985, mama yake alijishughulisha na kilimo na ufugaji na wazazi hawa kwa ujumla walipata watoto tisa, akiwamo Anna.

Mgwira alianza safari ya kielimu katika Shule ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira apiga kura Singida

 Mgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira akiangalia jina lake wakati alipokwenda kupiga kura katika kituo cha Kibaoni mjini SingidaMgombea Urais Mwanamke pekee kupitia tiketi ya ACT Wazalendo Mhe. Anna MGhwira akiangalia jina lake wakati alipokwenda kupiga kura katika kituo cha Kibaoni mjini Singida

 

9 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira mgombea urais ACT-Wazalendo

Hatimaye Chama cha ACT – Wazalendo kimempitisha mwenyekiti wake, Anna Mghwira (56) kuwania urais baada ya mshauri wake, Profesa Kitila Mkumbo aliyekuwa amechukuliwa fomu kukataa kubeba jukumu hilo.

 

9 years ago

Vijimambo

MJUE HASHIM RUNGWE MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHAUMMA

HISTORIA YAKE

Hashim Rungwe Spunda, ni Wakili wa Mahakama Kuu ya Tanzania akifanya kazi zake kama wakili binafsi. Alizaliwa tarehe 01 Januari 1949 katika eneo la Ujiji, mkoani Kigoma (Ametimiza miaka 66 mwezi Januari mwaka huu).

Hashim alianza elimu ya msingi katika shule ya msingi Kipampa iliyoko mkoani Kigoma kati ya mwaka 1959 – 1966 na akajiunga na masomo ya sekondari katika Shule ya Sekondari ya Chuo Kikuu cha Cambridge kati ya mwaka 1967 – 1969 na kuhitimu kidato cha nne, kabla ya...

 

9 years ago

Vijimambo

Kitila Mkumbo achomoa kugombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo


Aliyeteuliwa kuwania urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Kitila Mkumbo.Ndugu Wazalendo,
Naomba niwashukuru nyote kwa imani kubwa mliyo nayo juu yangu katika kukiwakilisha chama katika nafasi ya Rais. Naishukuru pia Kamati Kuu kwa imani yake kwangu hata kufikia hatua ya kupitisha azimio la kuniomba nigombee urais kwa chama chetu. Jana Kamati Kuu ilituma ujumbe maalumu nyumbani kwangu kwa ajili ya kuzungumza na familia na jamaa zangu juu ya ombi hili.

Aidha, Nimekuwa nikilitafakari jambo hili...

 

10 years ago

Mwananchi

Anna Mghwira: Najivunia nafasi niliyonayo ACT- Wazalendo

Ikiwa ni miaka 23 sasa tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini, mwanamke mwingine amejitokeza kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI UPINZANI 2015: Anna Mghwira, Mwenyekiti ACT- Wazalendo

>Anna Mghwira ni Mwenyekiti wa kitaifa wa chama kipya cha siasa, ACT – Wazalendo. Alizaliwa Januari 23, 1959 katika hospitali ya Mkoa wa Singida, Kata ya Mungumaji, Kitongoji cha Irao Manispaa ya Singida Mjini. (Januari mwaka huu alitimiza miaka 56).

 

9 years ago

Michuzi

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE

 Mgombea wa ubunge wa jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Kalapina akikabidhi sera na ilani ya chama cha ACT Wazalendo kwa kiongozi wa chama hicho katika soko la Tandale. Mgombea wa ubunge wa jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo Kalapina akizungumza na wakazi wa tandale wakati wa kufungua Kampeni za chama chicho jijini Dar es Salaam. Mgombea ubunge jimbo la kawe kupitia chama hicho, Janet Joel Akizungumza na wakazi wa tandale alipopata nafasi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete ampongeza Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Anna Mghwira wa ACT Wazalendo atuma salamu za pongezi

j1

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa  Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva  kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015.

j4

j6

j7

j2

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani