Kitila Mkumbo achomoa kugombea Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo
Aliyeteuliwa kuwania urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Kitila Mkumbo.Ndugu Wazalendo,
Naomba niwashukuru nyote kwa imani kubwa mliyo nayo juu yangu katika kukiwakilisha chama katika nafasi ya Rais. Naishukuru pia Kamati Kuu kwa imani yake kwangu hata kufikia hatua ya kupitisha azimio la kuniomba nigombee urais kwa chama chetu. Jana Kamati Kuu ilituma ujumbe maalumu nyumbani kwangu kwa ajili ya kuzungumza na familia na jamaa zangu juu ya ombi hili.
Aidha, Nimekuwa nikilitafakari jambo hili...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PjtcdmWVDDA/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LGdhCycw6D9JfhJffrTnnln2Td-4Lbj9LlkFk4*dDgMHjo3lr61rVNAz5sdObwTlETIbhAp09hq1Tfd9MdB2DT7yQNWViM3*/MMG24742.jpg?width=650)
KITILA MKUMBO ACHOMOA URAIS ACT
9 years ago
MichuziMWIGAMBA AMCHUKULIA FOMU YA URAIS KITILA MKUMBO-ACT WAZALENDO
9 years ago
Vijimambo26 Sep
MJUE MGOMBEA URAIS ANNA MGHWIRA KUPITIA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
![](https://scontent.cdninstagram.com/hphotos-xaf1/t51.2885-15/s320x320/e15/11350896_934831816583429_401382035_n.jpg)
Mgwira alianza safari ya kielimu katika Shule ya...
9 years ago
VijimamboACT—WAZALENDO WAMCHUKULIA FOMU YA URAIS PROF. MKUMBO
Mwakilishi wa chama cha ACT WAZALENDO na Katibu mkuu wa chama ACT WAZALENDO, Samsoni Mwigamba akipewa maelekezo na Afisa tawala wandamizi wa Tume ya uchaguzi (NEC),George Baasha kuhusiana na vitu vinavyotakiwa kwenye uchaguzi mkuu pamoja na kampeni zitakazo anza hivi karibuni.
10 years ago
MichuziLUTALOSA YEMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA ADC
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO