Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI

Evariste NdayishimiyeBURUNDI
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.

Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.

Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais

Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake katika uchaguzi wa rais wa Mei 20 mwaka huu.

Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.

Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...

 

10 years ago

Mtanzania

Kiongozi CNDD-FDD asakwa Burundi

Hussein Radjabu (burundi beat) copieMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
SERIKALI ya Burundi imetangaza msako dhidi ya mwenyekiti wa zamani wa chama tawala cha CNDD-FDD nchini Burundi, Hussein Rajabu, kwa kutoweka jela pamoja na mkuu wa gereza la Mpimba.
Msemaji wa Serikali, Liboire Bakundukize, alisema jana kuwa msako dhidi ya watu hao umeanza.
“Serikali inamsaka Hussein na wale wote waliomsaidia kutoroka gerezani waweze kufunguliwa mashtaka mara moja,” alisema Bakundukize katika taarifa yake.
Pamoja na kutolewa taarifa hiyo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mgombea wa chama tawala nchini Burundi ashinda urais

Mgombea wa chama tawala nchini Burundi ashinda uchaguzi kwa 68.7% ya kura

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani

Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Agathon Rwasa apuuza mahakama Burundi

Kiongozi wa zamani wa FNL Palipehutu Burundi, Aghaton Rwasa hakusikilizwa na mahakama katika kesi inayo husu mauaji ya raia banyamulenge mwaka 2004 katika kitongoji cha gatumba nje ya mji mkuu Bujumbura

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Agathon Rwasa ni naibu wa spika

Licha ya kupinga uchaguzi mkuu wa hivi majuzi kiongozi wa upinzani Agathon Rwasa amekubali kuwa naibu wa spika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke wa Agathon Rwasa ashambuliwa Burundi

Watu waliokua na Silaha wamemjeruhi mke wa kiongozi wa upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Je, upinzani utafurukuta ama kumsindikiza mgombea wa chama tawala?

Benki ya Dunia inakadiria kuwa watu saba kati ya kumi nchini Burundi ni masikini kupindukia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chama tawala chashinda uchaguzi Botswana

Tume ya uchaguzi nchini Botswana inasema kuwa chama tawala nchini humo kimeshinda uchaguzi mkuu uliondaliwa siku ya ijumaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani