Agathon Rwasa apuuza mahakama Burundi
Kiongozi wa zamani wa FNL Palipehutu Burundi, Aghaton Rwasa hakusikilizwa na mahakama katika kesi inayo husu mauaji ya raia banyamulenge mwaka 2004 katika kitongoji cha gatumba nje ya mji mkuu Bujumbura
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Burundi:Agathon Rwasa ni naibu wa spika
Licha ya kupinga uchaguzi mkuu wa hivi majuzi kiongozi wa upinzani Agathon Rwasa amekubali kuwa naibu wa spika.
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Mke wa Agathon Rwasa ashambuliwa Burundi
Watu waliokua na Silaha wamemjeruhi mke wa kiongozi wa upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s72-c/ndayish.jpg)
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s400/ndayish.jpg)
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Agathon Rwasa ahudhuria kikao cha bunge
Kiongozi wa upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa amehudhuria kikao cha kwanza cha bunge tangu uchaguzi wa ubunge mnamo tarehe 29 juni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
9 years ago
BBCSwahili07 Sep
Rwasa atetea nafasi yake Burundi
Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa amepinga vikali madai kwamba hadhi yake imeshuka kama kiongozi wa upinzani.
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Burundi yashtakiwa Mahakama ya Afrika
SERIKALI ya Burundi imeburuzwa kwenye korti ya Afrika Mashariki (EACJ), kwa madai ya kukiuka haki za binadamu na utawala wa sheria. Inadaiwa kumnyang’anya pasi ya kusafiria Rais wa Chama cha...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Burundi yaburutwa Mahakama ya EAC
Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), kimeifikisha mahakamani Serikali ya Burundi kwa madai ya kukiuka haki za msingi za kujipatia kipato halali Wakili Isidore Rufyikiri aliyepigwa marufuku kufanya shughuli za uwakili nchini humo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania