Rwasa atetea nafasi yake Burundi
Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa amepinga vikali madai kwamba hadhi yake imeshuka kama kiongozi wa upinzani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Mar
Mke wa Agathon Rwasa ashambuliwa Burundi
Watu waliokua na Silaha wamemjeruhi mke wa kiongozi wa upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa.
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Agathon Rwasa apuuza mahakama Burundi
Kiongozi wa zamani wa FNL Palipehutu Burundi, Aghaton Rwasa hakusikilizwa na mahakama katika kesi inayo husu mauaji ya raia banyamulenge mwaka 2004 katika kitongoji cha gatumba nje ya mji mkuu Bujumbura
10 years ago
BBCSwahili30 Jul
Burundi:Agathon Rwasa ni naibu wa spika
Licha ya kupinga uchaguzi mkuu wa hivi majuzi kiongozi wa upinzani Agathon Rwasa amekubali kuwa naibu wa spika.
9 years ago
BBCSwahili08 Sep
Rwasa aikosoa serikali ya nchi yake
Kiongozi mkuu wa upinzani Burundi, amekosoa hatua zinazochuliwa na serikali ya nchi hiyo kukabiliana na mauaji ya mara kwa mara.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s72-c/ndayish.jpg)
CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pNAou09XKWs/XsywxDDAkhI/AAAAAAACLsc/d34UisiBLVsWV2RUMWZC_WiuGjDqqafuACLcBGAsYHQ/s400/ndayish.jpg)
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.
Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM, RAJABU LUHWAVI ACHUKUA NAFASI YAKE
11 years ago
BBCSwahili08 Jan
Rodman atetea safari yake Korea
Dennis Rodman anazuru Korea Kaskazini kushiriki mchezo wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Rais wa nchi huyo Kim Jong-Un
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Museveni kutetea nafasi yake?
Rais Yoweri Museveni anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaochukua fomu kuwania nafasi ya uongozi ndani ya chama tawala, Uganda
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania