Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rwasa atetea nafasi yake Burundi

Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa amepinga vikali madai kwamba hadhi yake imeshuka kama kiongozi wa upinzani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mke wa Agathon Rwasa ashambuliwa Burundi

Watu waliokua na Silaha wamemjeruhi mke wa kiongozi wa upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Agathon Rwasa apuuza mahakama Burundi

Kiongozi wa zamani wa FNL Palipehutu Burundi, Aghaton Rwasa hakusikilizwa na mahakama katika kesi inayo husu mauaji ya raia banyamulenge mwaka 2004 katika kitongoji cha gatumba nje ya mji mkuu Bujumbura

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Agathon Rwasa ni naibu wa spika

Licha ya kupinga uchaguzi mkuu wa hivi majuzi kiongozi wa upinzani Agathon Rwasa amekubali kuwa naibu wa spika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rwasa aikosoa serikali ya nchi yake

Kiongozi mkuu wa upinzani Burundi, amekosoa hatua zinazochuliwa na serikali ya nchi hiyo kukabiliana na mauaji ya mara kwa mara.

 

5 years ago

CCM Blog

CHAMA TAWALA NCHINI BURUNDI CNDD-FDD CHASHINDA KITI CHA URAIS, AGATHON RWASA WA UPINZANI CHALI

Evariste NdayishimiyeBURUNDI
Tume ya uchaguzi nchini Burundi imemtangaza mgombea wa chama tawala nchini humo CNDD-FDD Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika juma lililopita.

Jenerali mstaafu huyo ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.

Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani

Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZ: MWIGULU NCHEMBA AJIUZULU NAFASI YA NAIBU KATIBU MKUU WA CCM, RAJABU LUHWAVI ACHUKUA NAFASI YAKE

Habari za uhakika kutoka Dodoma zinaeleza kwamba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Mwigulu Nchemba (kushoto) amejiuzulu nafasi hiyo katika chama tawala. Kulia ni Ndg Rajabu Luhwavi. Habari zaidi tutawaletea kuhusu sababu ya kujiuzulu huko.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rodman atetea safari yake Korea

Dennis Rodman anazuru Korea Kaskazini kushiriki mchezo wa kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Rais wa nchi huyo Kim Jong-Un

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni kutetea nafasi yake?

Rais Yoweri Museveni anatarajiwa kuwa miongoni mwa watakaochukua fomu kuwania nafasi ya uongozi ndani ya chama tawala, Uganda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani