Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi yashtakiwa Mahakama ya Afrika

SERIKALI ya Burundi imeburuzwa kwenye korti ya Afrika Mashariki (EACJ), kwa madai ya kukiuka haki za binadamu na utawala wa sheria. Inadaiwa kumnyang’anya pasi ya kusafiria Rais wa Chama cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kikwete amezitaka nchi za Afrika kuipa nguvu Mahakama ya Afrika ili iweze kusikiliza kesi za jinai

531-1024x634

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wafanyakazi na viongozi wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu mjini Arusha.

177

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za binadamu Jaji Agustino Ramadhani wakizindua kitabu cha taarifa za msingi kuhusu mahakama hiyo kwenye Ukumbi wa Kibo kwenye majengo ya Mahakama hiyo mjini Arusha.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na viongozi na wafanyakazi wa mahakama hiyo.

257

Na Mahmoud Ahmad, Arusha

Rais Jakaya Kikwete...

 

11 years ago

Mwananchi

Burundi yaburutwa Mahakama ya EAC

Chama cha Wanasheria Afrika Mashariki (EALS), kimeifikisha mahakamani Serikali ya Burundi kwa madai ya kukiuka haki za msingi za kujipatia kipato halali Wakili Isidore Rufyikiri aliyepigwa marufuku kufanya shughuli za uwakili nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Agathon Rwasa apuuza mahakama Burundi

Kiongozi wa zamani wa FNL Palipehutu Burundi, Aghaton Rwasa hakusikilizwa na mahakama katika kesi inayo husu mauaji ya raia banyamulenge mwaka 2004 katika kitongoji cha gatumba nje ya mji mkuu Bujumbura

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti ya uamuzi wa mahakama Burundi yakamilika

Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamepokea na kujadili ripoti ya hali ya kisiasa ya Burundi iliyotolewa na wanasheria waliotumwa nchini humo kuchunguza namna Mahakama Kuu ilivyofikia uamuzi wa kumruhusu Rais Pierre Nkurunziza kuwania kiti hicho kwa awamu ya tatu.

 

5 years ago

CCM Blog

MAHAKAMA YAAMURU RAIS MTEULE WA BURUNDI AAPISHWE HARAKA


Mrithi wa NkurunzinzaHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionJenerali Ndiyashimiye kuapishwa kabla ya Agosti.Mahakama ya kikatiba ya Burundi imeamua kuwa rais mteule Meja Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye aapishwe urais mara moja na hakutakuwa na rais wa mpito.Toka kutangazwa kifo cha Nkurunziza mapema wiki hii kumekuwa na ombwe la uongozi nchini humo.Katiba ya nchi hiyo inaeleza kuwa spika wa bunge atatakiwa kuchukua nafasi hiyo kwa mpito pale rais anapofariki. Hata hivyo Spika Pascal Nyabenda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampuni ya Google yashtakiwa

Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Faragha:Facebook yashtakiwa Ubelgiji

Uamuzi unaotaka mtandao wa facebook kufanya mabadiliko muhimu katika mazingira yake ya faragha nchini Ubelgiji umecheleweshwa huku nakala za mahakama zikitafsiriwa kiingereza.

 

9 years ago

BBCSwahili

Facebook yashtakiwa kwa kuhodhi taarifa za fedha

Facebook inakabiliwa na mashtaka mawili ya ukiukaji wa haki za wawekezaji wake ilipowanyima maelezo kamili kuhusiana na hisa zake mwaka wa 2012.

 

9 years ago

Mtanzania

Babu Seya atua Mahakama ya Afrika

SEYA*Awasilisha hoja tatu, alia na Serikali kuvunja sheria

*Asimulia jinsi alivyoteswa alipokuwa mahabusu

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA

HATIMAYE mwanamuziki, Nguza Viking  maarufu kama Babu Seya na mwanae, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’, wametua katika Mahakama ya Haki za Binadamu Afrika (AFCPHR)   Arusha.

Wanamuziki hao wamekata rufaa dhidi ya adhabu waliyohukumiwa  mwaka 2004 ya kutumikia kifungo cha maisha gerezani.

Kupitia shauri lao lililowasilishwa mahakamani na kupewa namba 006/ 2015, wanaiomba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani