Ripoti ya uamuzi wa mahakama Burundi yakamilika
Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamepokea na kujadili ripoti ya hali ya kisiasa ya Burundi iliyotolewa na wanasheria waliotumwa nchini humo kuchunguza namna Mahakama Kuu ilivyofikia uamuzi wa kumruhusu Rais Pierre Nkurunziza kuwania kiti hicho kwa awamu ya tatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Sisi hataingilia uamuzi wa mahakama
10 years ago
StarTV13 Jan
Mahakama yabatilisha uamuzi dhidi ya Mubarak
Mahakama nchini misri imebatilisha uamuzi wake kuhusiana na tuhuma za uproraji wa mali ya umma zilizokuwa zinamkabili aliyekuwa Rais wa wa nchi hio, Hosni Mubarak, na wanawe wawili.
Mahakama hio sasa inasema kesi hio itaanza kusikilizwa upya. Mahakama imemeelezea kuwa imegundua mikakati ya kisheria haikufuatwa.
Uamuzi huo una maana kwamba Mubarak ataondolewa katika hospitali ya kijeshi ambako anazuiliwa kwa mujibu wa wakili wake. Hio ndio kesi iliyoyokuwa imesalia mahakamani dhidi...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Mahakama Kisutu kutoa uamuzi dhidi ya Macha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho inatarajia kutoa uamuzi juu ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Macha iwapo ana kesi ya kujibu au la. Macha anakabiliwa na mashitaka...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mahakama Uturuki yaitisha uamuzi kuhusu Gollum
5 years ago
MichuziMAHAKAMA YATOA UAMUZI RUFAA YA MKUU WA WILAYA YA CHEMBA
Uamuzi huo umetolewa leo Aprili 29, 2020 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Glory Nkwera ambaye amekazia hukumu hiyo na kumtaka Odunga kutoa kiasi hicho cha fedha Kama ilivyoamuliwa na mahakama ya mwanzo ya Ukonga...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Waziri Mkuu ataka uamuzi wa Mahakama uheshimiwe Kiteto
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?
10 years ago
Habarileo02 Feb
Mahakama ya Kadhi, ripoti ya Msolla kutikisa Bunge
BUNGE linaendelea na mkutano wake wa 18, ambao kamati mbalimbali zitaendelea kuwasilisha taarifa kwa ajili ya majadiliano. Licha ya kamati za kisekta na zisizo za kisekta, kabla ya Bunge kuahirishwa wiki hii, pia Kamati Teule iliyoundwa kuchunguza na kuchambua Sera mbalimbali zinazohusu masuala ya ardhi, kilimo, mifugo, maji na uwekezaji kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya ardhi, pia itawasilisha taarifa yake.
10 years ago
Habarileo12 Dec
Mahakama sasa yacharuka, yataka ripoti ya Maranda
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashitaka kuandika barua kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (MOI) kupata taarifa za maendeleo ya kiafya ya Kada wa CCM, Rajabu Maranda.