Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti ya uamuzi wa mahakama Burundi yakamilika

Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamepokea na kujadili ripoti ya hali ya kisiasa ya Burundi iliyotolewa na wanasheria waliotumwa nchini humo kuchunguza namna Mahakama Kuu ilivyofikia uamuzi wa kumruhusu Rais Pierre Nkurunziza kuwania kiti hicho kwa awamu ya tatu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sisi hataingilia uamuzi wa mahakama

Rais Abdul Fattah al-Sisi amesema kuwa hataingilia kati uamuzi wa mahakama kuhusu kufungwa jela kwa wandishi 3 wa Al-Jazeera.

 

10 years ago

StarTV

Mahakama yabatilisha uamuzi dhidi ya Mubarak

Mahakama nchini misri imebatilisha uamuzi wake kuhusiana na tuhuma za uproraji wa mali ya umma zilizokuwa zinamkabili aliyekuwa Rais wa wa nchi hio, Hosni Mubarak, na wanawe wawili.

Mahakama hio sasa inasema kesi hio itaanza kusikilizwa upya. Mahakama imemeelezea kuwa imegundua mikakati ya kisheria haikufuatwa.

Uamuzi huo una maana kwamba Mubarak ataondolewa katika hospitali ya kijeshi ambako anazuiliwa kwa mujibu wa wakili wake. Hio ndio kesi iliyoyokuwa imesalia mahakamani dhidi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama Kisutu kutoa uamuzi dhidi ya Macha

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho inatarajia kutoa uamuzi juu ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Macha iwapo ana kesi ya kujibu au la. Macha anakabiliwa na mashitaka...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama Uturuki yaitisha uamuzi kuhusu Gollum

Mahakama moja nchini Uturuki imeagiza uchunguzi ufanywe kubaini sifa za mhusika mmoja katika filamu za Lord of the Rings ajulikanaye kama Gollum.

 

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YATOA UAMUZI RUFAA YA MKUU WA WILAYA YA CHEMBA

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, Imetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Mkuu wa wilaya ya Chemba Simon Odunga kupinga hukumu ya Mahakama ya Mwanzo Ukonga iliyoamuru Odunga kutoa Sh. Milioni saba kama sehemu ya gharama ya matunzo ya kumsomesha mtoto wake.
Uamuzi huo umetolewa leo Aprili 29, 2020 na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Glory Nkwera ambaye amekazia hukumu hiyo na kumtaka Odunga kutoa kiasi hicho cha fedha Kama ilivyoamuliwa na mahakama ya mwanzo ya Ukonga...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuu ataka uamuzi wa Mahakama uheshimiwe Kiteto

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ameagiza wote waliovamia eneo la Hifadhi ya Jamii ya Emborey ya Murtangos, kuondoka ili kuheshimu uamuzi wa mahakama ya rufani na akaagiza waliohusika na mauaji ya watu 15 kusakwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, ni nani nchini Sudan atakayefanya uamuzi wa kumwasilisha Omar el Bashir katika mahakama ya ICC?

Bashir na wengine wanatuhumiwa na makossa mabaya ya uhalifu katika mzozo wa jimbo la magharibi la Darfur ambao ulianza 2003.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama ya Kadhi, ripoti ya Msolla kutikisa Bunge

Spika wa Bunge, Anna Makinda.BUNGE linaendelea na mkutano wake wa 18, ambao kamati mbalimbali zitaendelea kuwasilisha taarifa kwa ajili ya majadiliano. Licha ya kamati za kisekta na zisizo za kisekta, kabla ya Bunge kuahirishwa wiki hii, pia Kamati Teule iliyoundwa kuchunguza na kuchambua Sera mbalimbali zinazohusu masuala ya ardhi, kilimo, mifugo, maji na uwekezaji kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya ardhi, pia itawasilisha taarifa yake.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama sasa yacharuka, yataka ripoti ya Maranda

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashitaka kuandika barua kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (MOI) kupata taarifa za maendeleo ya kiafya ya Kada wa CCM, Rajabu Maranda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani