Mahakama yabatilisha uamuzi dhidi ya Mubarak
Mahakama nchini misri imebatilisha uamuzi wake kuhusiana na tuhuma za uproraji wa mali ya umma zilizokuwa zinamkabili aliyekuwa Rais wa wa nchi hio, Hosni Mubarak, na wanawe wawili.
Mahakama hio sasa inasema kesi hio itaanza kusikilizwa upya. Mahakama imemeelezea kuwa imegundua mikakati ya kisheria haikufuatwa.
Uamuzi huo una maana kwamba Mubarak ataondolewa katika hospitali ya kijeshi ambako anazuiliwa kwa mujibu wa wakili wake. Hio ndio kesi iliyoyokuwa imesalia mahakamani dhidi...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Korti yabatilisha uamuzi dhidi ya Mubarak
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Mahakama Kisutu kutoa uamuzi dhidi ya Macha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho inatarajia kutoa uamuzi juu ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Macha iwapo ana kesi ya kujibu au la. Macha anakabiliwa na mashitaka...
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Mahakama kuamua kuhusu kesi ya Mubarak
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Mahakama yaagiza wanawe Mubarak waachiliwe
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kesi dhidi ya Mubarak yatupiliwa mbali
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Sisi hataingilia uamuzi wa mahakama
10 years ago
Mwananchi31 May
Ripoti ya uamuzi wa mahakama Burundi yakamilika
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mahakama Uturuki yaitisha uamuzi kuhusu Gollum