Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahakama yaagiza wanawe Mubarak waachiliwe

Mahakama nchini Misri imeagiza kuachiliwa huru wa wana wawili wa kiume wa rais aliyeng’olewa mamlakani Hosni Mubarak.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanawe Mubarak waachiliwa Misri

Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak, wameondoka gerezani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mubarak na wanawe wafungwa miaka 3 Misri

Mahakama ya uhalifu ya Misri imetoa hukumu ya kifungo cha miaka mitatu, kwa rais wa zamani, Hosni Mubarak, na watoto wake wawili

 

9 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaagiza dawa ya Nurofen isiuzwe

Mahakama moja nchini Australia imepiga marufuku uuzaji wa dawa ya kichwa iitwayo Nurofen inayotengenzwa na kampuni ya Reckitt Benckiser

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAAGIZA Halima MDEE NA WENZAKE KUHUDHURIA KESI YAO INAPOPANGWA KUSIKILIZWA

Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee
Habari na Mwene Said wa Globu ya Jamii  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeagiza Mbunge wa Jimbo la Kawe,  Mhe Halima Mdee (35) na wenzake wawili kufika mahakamani ili iweze kuanza kusikiliza kesi inayowakabili ya kupinga amri halali ya Jeshi la Polisi na kukusanyika isivyo halali kwa lengo la kwenda Ikulu.  Amri hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa mshtakiwa wa kwanza Mdee,...

 

10 years ago

StarTV

Mahakama yabatilisha uamuzi dhidi ya Mubarak

Mahakama nchini misri imebatilisha uamuzi wake kuhusiana na tuhuma za uproraji wa mali ya umma zilizokuwa zinamkabili aliyekuwa Rais wa wa nchi hio, Hosni Mubarak, na wanawe wawili.

Mahakama hio sasa inasema kesi hio itaanza kusikilizwa upya. Mahakama imemeelezea kuwa imegundua mikakati ya kisheria haikufuatwa.

Uamuzi huo una maana kwamba Mubarak ataondolewa katika hospitali ya kijeshi ambako anazuiliwa kwa mujibu wa wakili wake. Hio ndio kesi iliyoyokuwa imesalia mahakamani dhidi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama kuamua kuhusu kesi ya Mubarak

Mahakama nchini Misri inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu kesi inayomkabili rais wa zamani wa nchi hiyo Hosni Mubarak

 

9 years ago

Mtanzania

Serikali yaagiza Dk. Mwaka achunguzwe

3Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

SERIKALI imemwagiza Mkurugenzi wa Baraza la Tiba Asili Tanzania kumfanyia uchunguzi tabibu Dk. Juma Mwaka ndani ya wiki moja ili kujua iwapo amekidhi vigezo vya kisheria.

Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangwala baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha Fore Plan Clinic kinachosimamiwa na Dk. Mwaka.

Alisema Dk. Mwaka amekuwa akitoa huduma ya matibabu kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ford yaagiza magari milioni1 kurejeshwa

Zaidi ya Magari milioni moja nukta tatu ya Ford yanahitlafu ya usukani.

 

11 years ago

BBCSwahili

ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.

wapiganaji wa ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani