Ford yaagiza magari milioni1 kurejeshwa
Zaidi ya Magari milioni moja nukta tatu ya Ford yanahitlafu ya usukani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Ford kuuza magari ya kusoma ishara
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mabaki ya MH 17 kurejeshwa Uholanzi
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Serikali yaagiza Dk. Mwaka achunguzwe
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
SERIKALI imemwagiza Mkurugenzi wa Baraza la Tiba Asili Tanzania kumfanyia uchunguzi tabibu Dk. Juma Mwaka ndani ya wiki moja ili kujua iwapo amekidhi vigezo vya kisheria.
Agizo hilo limetolewa Dar es Salaam jana na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangwala baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika kituo cha Fore Plan Clinic kinachosimamiwa na Dk. Mwaka.
Alisema Dk. Mwaka amekuwa akitoa huduma ya matibabu kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Wambura kurejeshwa tena leo?
KAMATI ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inatarajiwa kukutana leo mchana kupitia rufaa ya mgombea wa nafasi ya urais wa klabu ya Simba, Michael Wambura, anayepinga...
10 years ago
Habarileo21 Dec
Watoro kusakwa na kurejeshwa shule
SERIKALI mkoa wa Rukwa imeagiza watoto, waliokatiza masomo yao kwa utoro wasakwe na kurejeshwa shuleni mara moja.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bAnmdOW7NaiF1Kr7Q13BLDhCNLhuh1oteu6Ss6TPdc6Ds1OU*paiuIJuEDx0kMqd6Na4FYkicc4F1LBsuyy2sWdduU9VOI7x/bobbikristinab768.jpg?width=650)
BOBBI KRISTINA KUREJESHWA NYUMBANI
10 years ago
Habarileo30 Jun
Wanaotakiwa Uganda wagoma kurejeshwa
WATU wawili wanaodaiwa kuwa wafuasi wa kundi la Uasi la ADF, wamegoma kurudishwa nchini kwao wakashitakiwe, na kuiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kupeleka jambo hilo kwa Waziri wa Katiba na Sheria kwa kuwa halina uhusiano wowote na kesi ya mauaji nchini humo.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s72-c/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Watanzania waishio Yemen kurejeshwa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imedhamiria kuwarudisha nchini Watanzania waishio Yemeni, kutokana na mapigano yanayoendelea nchini humo.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Ali Ahmed Saleh.
![](http://4.bp.blogspot.com/-l6EVYXVUkrI/VS_TXwk5oWI/AAAAAAAACFk/M1P9-9Los6g/s1600/Bernad-Membe-300x214.jpg)
Alisema ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa Watanzania hao ambao wengi ni wanafunzi, wanarudi nchini wakiwa salama.
Membe alisema awamu ya kwanza ya kuwarudisha ilifanyika hivi karibuni chini ya uratibu...