Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoro kusakwa na kurejeshwa shule

SERIKALI mkoa wa Rukwa imeagiza watoto, waliokatiza masomo yao kwa utoro wasakwe na kurejeshwa shuleni mara moja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasiopeleka watoto wao shule kusakwa

WANAFUNZI 725 kati ya 1,409 waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwaka huu, wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, hawajaripoti katika shule walizopangiwa ambapo hadi sasa walioripoti 684 tu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge 200 watoro

>Hali ya utoro kwenye vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano sasa imekithiri baada ya ofisi ya chombo hicho cha kutunga sheria kusema kina taarifa za wabunge 15 tu walioomba ruhusa kwa ajili ya shughuli mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM kuwakaanga wabunge ‘watoro’

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinakusudia kuwachukulia hatua wabunge wake zaidi ya 25 kwa makosa ya kutoshiriki kikamilifu vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mbwa mwitu’ 2 watoro wanaswa

Polisi katika Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Dar es Salaam, wanawashikilia watu wawili wa kundi la Mbwa mwitu.

 

11 years ago

Mwananchi

Watoro bungeni wadhibitiwe, asema Semakafu

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Dk. Ave-Maria Semakafu, amewataka wajumbe wenzake kutafuta njia ya kuwabana wajumbe watoro katika Kanuni za Uendeshaji wa Bunge hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mali:Kuwashtaki wazazi wa watoto watoro

Mali imesema inapanga kuwashitaki wazazi ambao wanawasafirisha watoto wao wadogo kwenda Ulaya kama wahamiaji,

 

11 years ago

Mwananchi

NIDHAMU: Wawakilishi watoro waadhibiwe - Balozi

>Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd amesema wakati umefika kwa Baraza la Wawakilishi kuweka adhabu kali ili kudhibiti vitendo vya utoro vinavyofanywa na baadhi ya wawakilishi na kusababisha kamati za matumizi kushindwa na kutofikiwa kwa akidi ya mahudhurio.

 

11 years ago

Habarileo

Watoro Bunge Maalum wazidi kubanwa

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kubanwa dhidi ya utoro baada ya kuondoa baadhi ya maneno kwenye rasimu ya kanuni, ambayo yangewezesha watoro kuendelea kupata posho ya kikao hata kama hawakuhudhuria.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwalimu jela kwa ‘kufuga’ wanafunzi watoro

Mahakama ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imemhukumu mwalimu wa Shule ya Msingi Nonwe, Raphael Matima kifungo cha miaka mitano jela kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa ya Sh600,000 ili afiche wanafunzi watoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani