CCM kuwakaanga wabunge ‘watoro’
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinakusudia kuwachukulia hatua wabunge wake zaidi ya 25 kwa makosa ya kutoshiriki kikamilifu vikao vya Bunge Maalumu la Katiba vinavyoendelea Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Wabunge 200 watoro
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Wabunge CCM wajilipua
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Wabunge CCM wamvaa JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiriwa kwa shauku kubwa kuteua mawaziri wanne kuziba pengo la wale aliotengua uteuzi wao baada ya sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili, wabunge wawili machachari wamemtaka awatimue kazi mawaziri wengine waliotajwa kuwa ‘mizigo’....
10 years ago
Habarileo21 Dec
Watoro kusakwa na kurejeshwa shule
SERIKALI mkoa wa Rukwa imeagiza watoto, waliokatiza masomo yao kwa utoro wasakwe na kurejeshwa shuleni mara moja.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
‘Mbwa mwitu’ 2 watoro wanaswa
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Kinana awavaa wabunge CCM
Awataka wasisubiri kuaibishwa, wajipimeLeizer aibua mapya, kubwaga manyanga
NA WAANDISHI WETU, LONGIDO
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wabunge wake kujipima kama wanatosha kabla ya kuingia tena kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kazi ya kuwatumikia wananchi.
Sambamba na hiyo, CCM imewaonya wabunge kuanza kujiengua ili kulinda heshima zao ndani na nje ya Chama.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alitoa agizo hilo juzi wakati akizungumza na wakazi wa Helendeke katika Mji Mdogo wa Namanga...
9 years ago
Mtanzania14 Aug
Panga pangua ya wabunge CCM
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekamilisha uteuzi wa wagombea ubunge wa majimbo na viti maalumu, huku baadhi ya wagombea walioshinda kwenye kura za maoni wakiachwa na kuchukuliwa walioshika nafasi ya pili na ya tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema kukamilika kwa kazi hiyo kunatoa fursa kwa wana CCM kujipanga na kuhakikisha wanarudisha umoja na mshikamano ili chama kiweze kushinda uchaguzi...
11 years ago
Habarileo06 Apr
Kinana kukutana na wabunge CCM
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema anakusudia kukutana na wabunge wote wa chama hicho, ili kupata ufumbuzi wa malalamiko ya wafanyabiashara nchini kuhusu mashine za kieletroniki (EFDs) za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Wabunge Ukawa wakimbilia CCM
ANGALAU wabunge wanne kutoka katika vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wataham
Mwandishi Wetu