Kinana awavaa wabunge CCM
Awataka wasisubiri kuaibishwa, wajipimeLeizer aibua mapya, kubwaga manyanga
NA WAANDISHI WETU, LONGIDO
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wabunge wake kujipima kama wanatosha kabla ya kuingia tena kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kazi ya kuwatumikia wananchi.
Sambamba na hiyo, CCM imewaonya wabunge kuanza kujiengua ili kulinda heshima zao ndani na nje ya Chama.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alitoa agizo hilo juzi wakati akizungumza na wakazi wa Helendeke katika Mji Mdogo wa Namanga...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Apr
Kinana kukutana na wabunge CCM
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, amesema anakusudia kukutana na wabunge wote wa chama hicho, ili kupata ufumbuzi wa malalamiko ya wafanyabiashara nchini kuhusu mashine za kieletroniki (EFDs) za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
11 years ago
Habarileo03 Apr
Kinana awapa rungu wabunge CCM
KATIBU Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana amewapa rungu wabunge wa chama hicho, kwa kutaka wahakikishe hawapitishi kila kitu, hasa sheria zinazowasilishwa bungeni na mawaziri, wakibaini hazina maslahi kwa wananchi na taifa kwa ujumla.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Dovutwa awavaa CCM
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmin Dovutwa amesema mchakato wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwahoji wanachama wake walioanza mbio za urais 2015 unatia shaka. Dovutwa alitoa kauli hiyo juzi...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/109.jpg?width=600)
TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA
9 years ago
IPPmedia20 Aug
Kinana to lead CCM top guns as CCM unveils winning team
IPPmedia
Party's Publicity and Ideology Secretary, Nape Nnauye made the announcement when addressing journalists in Dar es Salaam on Tuesday. He said the team will be led by party's secretary general, Abdulrahaman Kinana with his deputies from the Tanzania ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--IwvigNOL34/VMTB-jA_NtI/AAAAAAAG_aQ/6_aztgnwFls/s72-c/5.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM,RAIS DKT SHEIN NA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE WAWASILI PEMBA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/--IwvigNOL34/VMTB-jA_NtI/AAAAAAAG_aQ/6_aztgnwFls/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-apIkYZCpk9M/VMTCCaHpIFI/AAAAAAAG_ag/GvIlkN2LZu0/s1600/7.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Wabunge CCM wajilipua
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
Wabunge CCM wamvaa JK
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akisubiriwa kwa shauku kubwa kuteua mawaziri wanne kuziba pengo la wale aliotengua uteuzi wao baada ya sakata la Operesheni Tokomeza Ujangili, wabunge wawili machachari wamemtaka awatimue kazi mawaziri wengine waliotajwa kuwa ‘mizigo’....