Dovutwa awavaa CCM
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmin Dovutwa amesema mchakato wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwahoji wanachama wake walioanza mbio za urais 2015 unatia shaka. Dovutwa alitoa kauli hiyo juzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper09 Jul
Dovutwa: Slaa, mkewe wote ni makapi ya CCM
Msomi ainanga CHADEMA
NA MOHAMMED ISSA
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amemvaa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbord Slaa na kumtaka ajitokeze hadharani kufafanua tatizo la msingi la Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pia, ameshangazwa na kauli iliyotolewa na Dk. Slaa kuwa, CHADEMA haitasubiri wanachama watakaoachwa na CCM, kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao, wakati yeye na mkewe ni makapi ya CCM.
Dovutwa amesema Dk. Slaa alitokea CCM na kwamba, anatakiwa kuueleza umma ubaya...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
CCM, Chadema, CUF wanavuruga Bunge, asema Dovutwa
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Kinana awavaa wabunge CCM
Awataka wasisubiri kuaibishwa, wajipimeLeizer aibua mapya, kubwaga manyanga
NA WAANDISHI WETU, LONGIDO
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wabunge wake kujipima kama wanatosha kabla ya kuingia tena kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kazi ya kuwatumikia wananchi.
Sambamba na hiyo, CCM imewaonya wabunge kuanza kujiengua ili kulinda heshima zao ndani na nje ya Chama.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alitoa agizo hilo juzi wakati akizungumza na wakazi wa Helendeke katika Mji Mdogo wa Namanga...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Hotuba ya Warioba yamsikitisha Dovutwa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahim Dovutwa, amesikitishwa na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kutokana na kulenga zaidi masuala ya utafiti wa...
9 years ago
Daily News07 Sep
Dovutwa irked by Ukawa leaders
Daily News
PRESIDENTIAL candidate for People's Democratic Party Fahmi Dovutwa has expressed disappointment over lack of action by Coalition of Political Parties (UKAWA) officials when the Chairman of National League for Democracy Dr Emmanuel Makaidi was ...
9 years ago
Habarileo02 Sep
Dovutwa awatambia Magufuli, Lowassa
MGOMBEA urais kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, amesema atahakikisha anawapinga kwa hoja wagombea wenzake wa nafasi hiyo ili awapelekee ufunguo wa Ikulu waliomtuma.
9 years ago
AllAfrica.Com26 Oct
Dovutwa Survives Road Accident
AllAfrica.com
United People's Democratic Party (UPDP) Union presidential candidate, Mr Fahmi Dovutwa, survived an accident when the car he was travelling in from Dar es Salaam to Morogoro overturned. The incident prompted him to end his general election campaign.
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Fahmi Dovutwa adai kutishiwa kuuawa
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Dovutwa, mgombea urais asiyekata tamaa