Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dovutwa awavaa CCM

MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmin Dovutwa amesema mchakato wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwahoji wanachama wake walioanza mbio za urais 2015 unatia shaka. Dovutwa alitoa kauli hiyo juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Dovutwa: Slaa, mkewe wote ni makapi ya CCM



Msomi ainanga CHADEMA
NA MOHAMMED ISSA
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amemvaa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbord Slaa na kumtaka ajitokeze hadharani kufafanua tatizo la msingi la Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Pia, ameshangazwa na kauli iliyotolewa na Dk. Slaa kuwa, CHADEMA haitasubiri wanachama watakaoachwa na CCM, kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao, wakati yeye na mkewe ni makapi ya CCM.
Dovutwa amesema Dk. Slaa alitokea CCM na kwamba, anatakiwa kuueleza umma ubaya...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema, CUF wanavuruga Bunge, asema Dovutwa

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahmi Dovutwa alichafua hali ya hewa baada ya kuvituhumu vyama vya CCM, Chadema na CUF kuwa ndiyo vinavuruga Bunge kwa sababu ya misimamo yao.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kinana awavaa wabunge CCM



Awataka wasisubiri kuaibishwa, wajipimeLeizer aibua mapya, kubwaga manyanga
NA WAANDISHI WETU, LONGIDO
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wabunge wake kujipima kama wanatosha kabla ya kuingia tena kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kazi ya kuwatumikia wananchi.
Sambamba na hiyo, CCM imewaonya wabunge kuanza kujiengua ili kulinda heshima zao ndani na nje ya Chama.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alitoa agizo hilo juzi wakati akizungumza na wakazi wa Helendeke katika Mji Mdogo wa Namanga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hotuba ya Warioba yamsikitisha Dovutwa

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahim Dovutwa, amesikitishwa na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kutokana na kulenga zaidi masuala ya utafiti wa...

 

9 years ago

Daily News

Dovutwa irked by Ukawa leaders


Dovutwa irked by Ukawa leaders
Daily News
PRESIDENTIAL candidate for People's Democratic Party Fahmi Dovutwa has expressed disappointment over lack of action by Coalition of Political Parties (UKAWA) officials when the Chairman of National League for Democracy Dr Emmanuel Makaidi was ...

 

9 years ago

Habarileo

Dovutwa awatambia Magufuli, Lowassa

MGOMBEA urais kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, amesema atahakikisha anawapinga kwa hoja wagombea wenzake wa nafasi hiyo ili awapelekee ufunguo wa Ikulu waliomtuma.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Dovutwa Survives Road Accident


Dovutwa Survives Road Accident
AllAfrica.com
United People's Democratic Party (UPDP) Union presidential candidate, Mr Fahmi Dovutwa, survived an accident when the car he was travelling in from Dar es Salaam to Morogoro overturned. The incident prompted him to end his general election campaign.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahmi Dovutwa adai kutishiwa kuuawa

Sumu iliyomwagwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Seif Shariff Hamad imeanza kuwatafuna baadhi ya viongozi Taasisi ya Demokrasia nchini (TCD), akiwamo mwenyekiti wake, John Cheyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Dovutwa, mgombea urais asiyekata tamaa

Jina la Fahmi Dovutwa halivumi lakini katika duru za kisiasa limo. Huyu ni mwenyekiti wa chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP) ambacho tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993, hakijawahi kutoa japo mbunge, mwakilishi au diwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani