Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dovutwa awatambia Magufuli, Lowassa

MGOMBEA urais kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, amesema atahakikisha anawapinga kwa hoja wagombea wenzake wa nafasi hiyo ili awapelekee ufunguo wa Ikulu waliomtuma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mrema awatambia Ukawa, amwonya Mbatia

Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) amedai kitendo cha yeye kubaki kwenye Bunge Maalumu la Katiba kumetumiwa vibaya na wahasimu wake wa kisiasa jimboni kwake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dovutwa awavaa CCM

MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmin Dovutwa amesema mchakato wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwahoji wanachama wake walioanza mbio za urais 2015 unatia shaka. Dovutwa alitoa kauli hiyo juzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hotuba ya Warioba yamsikitisha Dovutwa

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahim Dovutwa, amesikitishwa na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kutokana na kulenga zaidi masuala ya utafiti wa...

 

9 years ago

Daily News

Dovutwa irked by Ukawa leaders


Dovutwa irked by Ukawa leaders
Daily News
PRESIDENTIAL candidate for People's Democratic Party Fahmi Dovutwa has expressed disappointment over lack of action by Coalition of Political Parties (UKAWA) officials when the Chairman of National League for Democracy Dr Emmanuel Makaidi was ...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Dovutwa Survives Road Accident


Dovutwa Survives Road Accident
AllAfrica.com
United People's Democratic Party (UPDP) Union presidential candidate, Mr Fahmi Dovutwa, survived an accident when the car he was travelling in from Dar es Salaam to Morogoro overturned. The incident prompted him to end his general election campaign.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli, Lowassa 50/50

ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.

Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni Lowassa au Magufuli?

USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Dovutwa, mgombea urais asiyekata tamaa

Jina la Fahmi Dovutwa halivumi lakini katika duru za kisiasa limo. Huyu ni mwenyekiti wa chama cha United Peoples Democratic Party (UPDP) ambacho tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993, hakijawahi kutoa japo mbunge, mwakilishi au diwani.

 

10 years ago

Mwananchi

Fahmi Dovutwa adai kutishiwa kuuawa

Sumu iliyomwagwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Seif Shariff Hamad imeanza kuwatafuna baadhi ya viongozi Taasisi ya Demokrasia nchini (TCD), akiwamo mwenyekiti wake, John Cheyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani