Dovutwa awatambia Magufuli, Lowassa
MGOMBEA urais kupitia chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa, amesema atahakikisha anawapinga kwa hoja wagombea wenzake wa nafasi hiyo ili awapelekee ufunguo wa Ikulu waliomtuma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Mrema awatambia Ukawa, amwonya Mbatia
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Dovutwa awavaa CCM
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmin Dovutwa amesema mchakato wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwahoji wanachama wake walioanza mbio za urais 2015 unatia shaka. Dovutwa alitoa kauli hiyo juzi...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Hotuba ya Warioba yamsikitisha Dovutwa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahim Dovutwa, amesikitishwa na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kutokana na kulenga zaidi masuala ya utafiti wa...
9 years ago
Daily News07 Sep
Dovutwa irked by Ukawa leaders
Daily News
PRESIDENTIAL candidate for People's Democratic Party Fahmi Dovutwa has expressed disappointment over lack of action by Coalition of Political Parties (UKAWA) officials when the Chairman of National League for Democracy Dr Emmanuel Makaidi was ...
9 years ago
AllAfrica.Com26 Oct
Dovutwa Survives Road Accident
AllAfrica.com
United People's Democratic Party (UPDP) Union presidential candidate, Mr Fahmi Dovutwa, survived an accident when the car he was travelling in from Dar es Salaam to Morogoro overturned. The incident prompted him to end his general election campaign.
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Dk. Magufuli, Lowassa 50/50
ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.
Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ni Lowassa au Magufuli?
USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi31 Aug
Dovutwa, mgombea urais asiyekata tamaa
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Fahmi Dovutwa adai kutishiwa kuuawa