Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotuba ya Warioba yamsikitisha Dovutwa

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahim Dovutwa, amesikitishwa na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kutokana na kulenga zaidi masuala ya utafiti wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Shibuda akunwa na hotuba ya Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda, amemuunga mkono, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kusema hotuba yake imewafumbua macho Watanzania wengi. Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Hotuba ya Warioba yagusa wengi

>Uwasilishaji wa Rasimu ya Katiba katika Bunge Maalumu la Katiba jana uliteka hisia za wakazi wengi wa mjini hapa, baada ya kuacha shughuli zao na kuamua kufuatilia kupitia televisheni.

 

11 years ago

Mwananchi

Hotuba ya Warioba yazidi kugusa hisia

Baadhi ya wasomi na watu wa kawaida, wameunga mkono hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Warioba aliyoitoa bungeni mwanzoni mwa wiki hii, lakini wakitia shaka kama wajumbe wa Bunge hilo wataunga mkono.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe CCM waponda hotuba ya Jaji Warioba

Baadhi ya Wajumbe wa Bunge la Katiba ambao ni wanachama wa CCM, wamepinga Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa maelezo kuwa haiwakilishi maoni ya Watanzania walio wengi.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge sasa kujadili hotuba za Rais, Warioba

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (kushoto) akimwapisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda (kulia) kuwa Mjumbe wa Bunge hilo, bungeni mjini Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuache kujadili hotuba za JK, Warioba tuboreshe Rasimu

>Wiki ya Machi 18 - 22, 2014, mwenyekiti Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba aliwasilisha Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Bunge la Katiba.

 

11 years ago

Habarileo

Dhuluma kwa wakulima yamsikitisha Kinana

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesikitishwa na taarifa ya wakulima wa tumbaku kuhusu dhuluma wanayofanyiwa na vyama vya ushirika na wanunuzi wa tumbaku yao kila msimu.

 

10 years ago

StarTV

Shutuma dhidi ya serikali yamsikitisha Waziri Mkuu Pinda.

Na Magreth Tengule,

Dodoma.

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda ameeleza kusikitishwa na kauli za baadhi ya watu wanaosema Serikali imetelekeza viwanda vya sukari ili kutoa fursa kwa wafanyabiashara nchini kuagiza nje sukari kwa ajili ya kujinufaisha wao na vigogo kutoka serikalini.

 

Waziri Mkuu ameeleza hayo siku chache tangu kuenea kwa taarifa katika mitandao ya kijamii kuwa Waziri Pinda amekuwa akiwasaidia baadhi ya wafanyabiashara wa sukari kukwepa kodi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani