Hotuba ya Warioba yamsikitisha Dovutwa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahim Dovutwa, amesikitishwa na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kutokana na kulenga zaidi masuala ya utafiti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Shibuda akunwa na hotuba ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda, amemuunga mkono, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kusema hotuba yake imewafumbua macho Watanzania wengi. Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Hotuba ya Warioba yagusa wengi
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Hotuba ya Warioba yazidi kugusa hisia
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Wajumbe CCM waponda hotuba ya Jaji Warioba
11 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge sasa kujadili hotuba za Rais, Warioba
HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Tuache kujadili hotuba za JK, Warioba tuboreshe Rasimu
11 years ago
Habarileo16 May
Dhuluma kwa wakulima yamsikitisha Kinana
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesikitishwa na taarifa ya wakulima wa tumbaku kuhusu dhuluma wanayofanyiwa na vyama vya ushirika na wanunuzi wa tumbaku yao kila msimu.
10 years ago
StarTV13 Feb
Shutuma dhidi ya serikali yamsikitisha Waziri Mkuu Pinda.
Na Magreth Tengule,
Dodoma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda ameeleza kusikitishwa na kauli za baadhi ya watu wanaosema Serikali imetelekeza viwanda vya sukari ili kutoa fursa kwa wafanyabiashara nchini kuagiza nje sukari kwa ajili ya kujinufaisha wao na vigogo kutoka serikalini.
Waziri Mkuu ameeleza hayo siku chache tangu kuenea kwa taarifa katika mitandao ya kijamii kuwa Waziri Pinda amekuwa akiwasaidia baadhi ya wafanyabiashara wa sukari kukwepa kodi...