Hotuba ya Warioba yazidi kugusa hisia
Baadhi ya wasomi na watu wa kawaida, wameunga mkono hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba,Jaji Joseph Warioba aliyoitoa bungeni mwanzoni mwa wiki hii, lakini wakitia shaka kama wajumbe wa Bunge hilo wataunga mkono.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Hotuba ya Warioba yagusa wengi
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Shibuda akunwa na hotuba ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda, amemuunga mkono, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kusema hotuba yake imewafumbua macho Watanzania wengi. Akizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Hotuba ya Warioba yamsikitisha Dovutwa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahim Dovutwa, amesikitishwa na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kutokana na kulenga zaidi masuala ya utafiti wa...
11 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge sasa kujadili hotuba za Rais, Warioba
HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.
11 years ago
Mwananchi26 Mar
Tuache kujadili hotuba za JK, Warioba tuboreshe Rasimu
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Wajumbe CCM waponda hotuba ya Jaji Warioba
10 years ago
Vijimambo
5 years ago
Michuzi
TAASISI YA The Emirates Airline Foundation yaendelea kugusa jamii zenye uhitaji

SHIRIKA la ndege la Emirates kupitia miradi yao inayotekelezwa kupitia taasisi ya "The Emirates Airline Foundation" imeendelea kugusa jamii zenye uhitaji ambapo katika sekta za elimu, maji na afya huku watanzania wapatao 2912 kutoka maeneo mbalimbali nchini wakiwa wameguswa na mchango wa taasisi hiyo.
Rais wa Shirika la ndege la Emirates na mwenyekiti wa asasi ya Emirates Tim Clark kupitia taarifa iliyotolewa na Shirika hilo ameeleza kuwa Emirates inaangalia njia mbali mbali ya kuchangia...