TAASISI YA The Emirates Airline Foundation yaendelea kugusa jamii zenye uhitaji
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zj-6Lsn99oM/Xs_HY6IT-SI/AAAAAAALr4k/TxgusB9MWJA4-JzLa3L4P8iizhCE3kXlACLcBGAsYHQ/s72-c/4937736a-0f26-4902-a223-42dfd1103e74.jpg)
SHIRIKA la ndege la Emirates kupitia miradi yao inayotekelezwa kupitia taasisi ya "The Emirates Airline Foundation" imeendelea kugusa jamii zenye uhitaji ambapo katika sekta za elimu, maji na afya huku watanzania wapatao 2912 kutoka maeneo mbalimbali nchini wakiwa wameguswa na mchango wa taasisi hiyo.
Rais wa Shirika la ndege la Emirates na mwenyekiti wa asasi ya Emirates Tim Clark kupitia taarifa iliyotolewa na Shirika hilo ameeleza kuwa Emirates inaangalia njia mbali mbali ya kuchangia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CNBC22 Mar
Emirates Airline to suspend all passenger flights by March 25
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Mtaka ataka jamii kusaidia wenye uhitaji
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, ameitaka jamii kubadilika na kuwasaidia watu wenye kuhitaji misaada mbalimbali badala ya kujinufaisha wenyewe kwa mambo yasiyo na tija. Mtaka alitoa kauli...
5 years ago
MichuziTAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s72-c/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
Taasisi ya DYCCC na AlHikma Foundation wakabidhi vifaa vya PPE kwa Taasisi ya JAI kwa ajili ya kuzikia
![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s640/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ec5Q6ju2NAA/Xra5Vs6rk3I/AAAAAAALpjU/OisqI73Gh0kj0kKm7wCpOBNfzCUFo0lSQCLcBGAsYHQ/s640/9e3dfba9-eb30-48c6-95ab-a238604cc37c.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--BJW1hJUyjU/Xra5VE7biyI/AAAAAAALpjQ/sSi5PyvjfTMlIsi8mSI1AkSU2TuXSH50ACLcBGAsYHQ/s640/87cbce05-6f25-49e9-ab60-bae06aca34ab.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_lXebxgvym4/Xra5UxKas2I/AAAAAAALpjI/IZKl-A5pm3QQkE_iFyfC6nS4Y6gNsJ39gCLcBGAsYHQ/s640/1581cea7-5da2-43f7-8eda-316535ee3240.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SdRrAo_STF8/Xra5WBMAgGI/AAAAAAALpjY/V_Bfs2Dk9dAV2GHDPOeo7CZSK18QjBbxQCLcBGAsYHQ/s640/e6bde3ff-8489-49e6-9c12-192c81aa6429.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZnoIK6vYR4/Xra5WeE4FbI/AAAAAAALpjc/gyxpOyVoVLg_-5Ram7l4hQjAMl39-a-7ACLcBGAsYHQ/s640/ed0061d6-c190-494f-b0f5-394ee04aa95e.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-31a2LoRaCUI/VC45e5RRGWI/AAAAAAACsAg/6fhWqPH5RBs/s72-c/DSC06909.jpg)
Taasisi zenye harufu ya ufisadi zatajwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-31a2LoRaCUI/VC45e5RRGWI/AAAAAAACsAg/6fhWqPH5RBs/s640/DSC06909.jpg)
Taasisi 13 za serikali nchini, ikiwamo Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, zimekumbwa na kashfa ya kuwa na viashiria vya rushwa, huku 19 zikiwa zimefanya malipo yenye shaka ya thamani ya Sh. bilioni 1.7 katika manunuzi ya umma kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
Pia, kampuni 19 zimefungiwa kushiriki katika zabuni kwenye taasisi za umma nchini kutokana na madai ya kushindwa kutekeleza...
10 years ago
MichuziWANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA TAASISI ZA FEDHA ZENYE MASHARTI NAFUU YA MIKOPO
Hayo ameyasema leo Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Sophia Simba wakati wa uzinduzi wa mpango Fanikisha Plus wa wajasirimali unaondeshwa na benki ya Equity iliyofanyika leo katika ukumbi JB,Belmote jijini Dar es Salaam.
Sophia amesema wanawake umefika wakati kutumia fursa ambazo taasisi za fedha zenye...
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Taasisi ya Manjano Foundation wazindua mafunzo ya wajasiriamali
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shear Illusions Ltd, Mama Shekha Nasser akitoa mada kwenye Mradi wake aliouanzisha kuwejengea Uwezo wanawake Kwenye Ujasiriamali.Mafunzo hayo yalianza jana Chini ya Taasisi ya Manjano Foundation.Lengo la Mradi huo ni kuwajengea Uwezo wanwake wa Kitanzania Kupitia Bidhaa bidhaa za Vipodozi vya Luv touch Manjano kujisimamia na Kujikita Vizuri kwenye Biashara ya Vipodozi na kujua Mbinu Mbalimbali za Biashara kwa lengo la Kumjengea uwezo Mwanamke wa Kitanzania.
10 years ago
MichuziTAASISI YA JOHN MASHAKA FOUNDATION YASAIDIA RORYA
Huu ni mradi wa aina yake, kwani unatoa maji safi na salama. Na ina uwezo wa kusafisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yccAPcmKGLo/U9DoC3_QDiI/AAAAAAAF5r8/3HdZz8HN6ls/s72-c/Handeniii+(1).jpg)
Taasisi ya Handeni Kwetu Foundation kuzinduliwa August 5
![](http://2.bp.blogspot.com/-yccAPcmKGLo/U9DoC3_QDiI/AAAAAAAF5r8/3HdZz8HN6ls/s1600/Handeniii+(1).jpg)
Kuanzishwa kwa taasisi hiyo ni kutafuta namna ya kusaidiana na serikali katika mambo mbalimbali, ikiwamo Kujenga uwezo kwa jamii kujikwamua kiuchumi na kuhamasisha utawala.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Msemaji wa taasisi hiyo,...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10