Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAASISI YA JOHN MASHAKA FOUNDATION YASAIDIA RORYA

Taasisi ya John Mashaka Foundation pamoja na American Engineering Group (AEG) hatimaye imeweza kuwasaidia wanakijiji 3,500 katika kijiji cha Manila wilayani Rorya kupata maji safi na Salama. Mradi huu umegharimu kiasi cha Shilling Billioni moja. Kabla ya huu mradi, wananchi wa hiki kijiji walikuwa wakitembea kilometa 24 kwenda ziwani na kurudi. Kazi ambayo ilikuwa ikifanywa na watoto pamoja na Wanawake.
Huu ni mradi wa aina yake, kwani unatoa maji safi na salama. Na ina uwezo wa kusafisha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA

 MKUU wa wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa kushoto akiwakabidhi baadhi ya wawakilishi wa Taasisi kubwa za Dini Jijini Tanga msaada wa vifaa vya usafi ambayo vimetolewa na taasisi ya odo Ummy Foundation inayoongozwa na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu kulia mwenye kanzu ni Katibu Mkuu wa Taasisi ya Waalimu wa Kiislamu Tanzania ya Tamta Mohamed Mohamed Zikri akifuatiwa na Mwakilishi kutoka Katoliki Chumbageni John...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANA DIASPORA KUTOKA MAREKANI, JOHN MASHAKA NI MFANO WA KUIGWA

Taasisi ya John Mashaka Foundation pamoja na American Engineering Group (AEG) hatimaye imeweza kuwasaidia wanakijiji 3,500 katika kijiji cha Manila wilayani Rorya kupata maji safi na salama.  Mradi huu umegharamu kiasi cha Shilling Billion moja. Kabla ya huu mradi wananchi wa hiki kijiji walikuwa wakitembea kilometa 24 kwenda ziwani na kurudi. Kazi ambayo ilikuwa ikifanywa na watoto pamoja ba wanawake.

Huu  ni mradi wa aina yake, kwani unatoa maji safi na salama. Na ina uwezo wa kusafisha...

 

11 years ago

Michuzi

john mashaka ajitosa mjadala wa uraia pacha: Haki Ya Kuzaliwa Ya Watanzania Ughaibuni

Taifa letu likiwa katika mpito na wakati mgumu wa kuandika rasimu ya katiba mpya ya watanzania, hatuna budi kuweka kando itikadi zetu za kisiasa, tofauti za kiimani na hata maslahi binafsi ili tuungane katika kutafuta katiba itakayokidhi mahitaji yetu ya sasa na ya vizazi vijavyo. Katika mchakato huu, inatubidi tuwe makini na wakweli katika kujadili hatma na haki ya kuzaliwa ya ndugu zetu ambao wanaishi ughaibuni.  Lazima tuwajumuishe na kuwapa haki zao za msingi; haki ya kuzaliwa katika...

 

10 years ago

Michuzi

Dorice Mollel Foundation yasaidia yatima jijini dar

Taasisi ya Dorice Mollel Foundation chini mshindi wa nne wa Miss Tanzania 2014/15, Dorice Mollel (kulia) akiwa pamoja na watoto wanaolelewa kwenye kituo cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza Mori, Jijini Dar es salaam.Dorice Mollel Foundation kwa kushirikiana na Rehema Solidarity Trust iliyo chini ya Ubalozi wa Uturuki walitoa msaada wa vitabu vya dini kwa kituo hicho pamoja na vingine viwili ili kuwawezesha watoto hao kujengwa katika maadili mema ya kiimani.anaeonekana mbele kushoto ni Mlezi Mkuu...

 

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya DYCCC na AlHikma Foundation wakabidhi vifaa vya PPE kwa Taasisi ya JAI kwa ajili ya kuzikia

Taasisi za DYCCC na Alhikma Foundation kwa kushirikiana na Taasisi zingine 7 wameweza kutoa msaada wa vifaa mbali mbali vya kuzikia leo tarehe 09 May 2020. Hii ilifuatia na mafunzo ya namna ya kuhudumia na kuzika maiti iliyotolewa na wataalam wa maziko. Makabidhiano haya yamefanyika katika viwanja vya Makaburi ya Kisutu mjini Dar Es Salaam.



 

10 years ago

Dewji Blog

Ray C Foundation yasaidia vijana zaidi ya 70 kuachana madawa ya kulevya

DSC_0087

Mwanadada aliyewahi kung’ara kwenye tasnia ya muziki nchini na Afrika Mashariki, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akihojiwa na wandishi wa habari wakati wa kilele cha siku ya Kimataifa kupinga matumizi ya dawa za kulevya na usafirishaji, iliyofanyika Juni 26, Bagamoyo-Pwani.

Na Andrew Chale, Modewjiblog, Bagamoyo

Mwanadada aliyewahi kung’ara katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amesema moja ya sababu iliyomfanya kuanzisha taasisi yake ya  kupambana madawa ya kulevya ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Taasisi yasaidia Saccos Sh500 mil

Mradi wa kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo, umetoa mikopo ya Sh590 milioni kwa vyama saba vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwakopesha wanachama wake.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mo Dewji Foundation yatanua mbawa, yasaidia uboreshaji wa kituo cha Furahini Mkoani K’njaro

User comments

Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.

Na Mwandishi wetu

TAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili  mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha upatikanaji wa elimu katika kijiji cha Kisangara mkoani Kilimanjaro.

Imeelezwa kuwa taasisi hiyo ya bilionea Mo Dewji imetoa shilingi milioni 7 kusaidia ujenzi wa miundombinu...

 

9 years ago

Vijimambo

MO DEWJI FOUNDATION YATANUA MBAWA, YASAIDIA UBORESHAJI WA KITUO CHA FURAHINI MKOANI KILIMANJARO

User comments
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.User comments
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo katika jengo la kituo hicho cha Furahini ambacho kinatarajiwa kukabaratiwa na kwa msaada wa Mo Dewji Foundation.
Na Mwandishi wetuTAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani