TAASISI YA JOHN MASHAKA FOUNDATION YASAIDIA RORYA
Taasisi ya John Mashaka Foundation pamoja na American Engineering Group (AEG) hatimaye imeweza kuwasaidia wanakijiji 3,500 katika kijiji cha Manila wilayani Rorya kupata maji safi na Salama. Mradi huu umegharimu kiasi cha Shilling Billioni moja. Kabla ya huu mradi, wananchi wa hiki kijiji walikuwa wakitembea kilometa 24 kwenda ziwani na kurudi. Kazi ambayo ilikuwa ikifanywa na watoto pamoja na Wanawake.
Huu ni mradi wa aina yake, kwani unatoa maji safi na salama. Na ina uwezo wa kusafisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziTAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bJ25y9fAz54/VYjQvDozADI/AAAAAAAABSM/JByCO_vijBE/s72-c/John%2BMashaka3.jpg)
MWANA DIASPORA KUTOKA MAREKANI, JOHN MASHAKA NI MFANO WA KUIGWA
Huu ni mradi wa aina yake, kwani unatoa maji safi na salama. Na ina uwezo wa kusafisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jxN7CiEYIPk/UzFBsN6wVYI/AAAAAAAFWH8/qEI4Vj27y4w/s72-c/unnamed+(8).jpg)
john mashaka ajitosa mjadala wa uraia pacha: Haki Ya Kuzaliwa Ya Watanzania Ughaibuni
![](http://2.bp.blogspot.com/-jxN7CiEYIPk/UzFBsN6wVYI/AAAAAAAFWH8/qEI4Vj27y4w/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pQ33IrYYY8w/VXWnImfB6TI/AAAAAAAHdB4/TgBsRyunhzE/s72-c/unnamedccc.jpg)
Dorice Mollel Foundation yasaidia yatima jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-pQ33IrYYY8w/VXWnImfB6TI/AAAAAAAHdB4/TgBsRyunhzE/s640/unnamedccc.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s72-c/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
Taasisi ya DYCCC na AlHikma Foundation wakabidhi vifaa vya PPE kwa Taasisi ya JAI kwa ajili ya kuzikia
![](https://1.bp.blogspot.com/-hG4B2Bv73xk/Xra5VOWLZGI/AAAAAAALpjM/HxpBExecPLkX7q29IeXtA1yOojStxqnHwCLcBGAsYHQ/s640/3d720bd7-79eb-4a8d-af7f-3b402e50b4e3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ec5Q6ju2NAA/Xra5Vs6rk3I/AAAAAAALpjU/OisqI73Gh0kj0kKm7wCpOBNfzCUFo0lSQCLcBGAsYHQ/s640/9e3dfba9-eb30-48c6-95ab-a238604cc37c.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--BJW1hJUyjU/Xra5VE7biyI/AAAAAAALpjQ/sSi5PyvjfTMlIsi8mSI1AkSU2TuXSH50ACLcBGAsYHQ/s640/87cbce05-6f25-49e9-ab60-bae06aca34ab.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_lXebxgvym4/Xra5UxKas2I/AAAAAAALpjI/IZKl-A5pm3QQkE_iFyfC6nS4Y6gNsJ39gCLcBGAsYHQ/s640/1581cea7-5da2-43f7-8eda-316535ee3240.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SdRrAo_STF8/Xra5WBMAgGI/AAAAAAALpjY/V_Bfs2Dk9dAV2GHDPOeo7CZSK18QjBbxQCLcBGAsYHQ/s640/e6bde3ff-8489-49e6-9c12-192c81aa6429.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iZnoIK6vYR4/Xra5WeE4FbI/AAAAAAALpjc/gyxpOyVoVLg_-5Ram7l4hQjAMl39-a-7ACLcBGAsYHQ/s640/ed0061d6-c190-494f-b0f5-394ee04aa95e.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Ray C Foundation yasaidia vijana zaidi ya 70 kuachana madawa ya kulevya
Mwanadada aliyewahi kung’ara kwenye tasnia ya muziki nchini na Afrika Mashariki, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akihojiwa na wandishi wa habari wakati wa kilele cha siku ya Kimataifa kupinga matumizi ya dawa za kulevya na usafirishaji, iliyofanyika Juni 26, Bagamoyo-Pwani.
Na Andrew Chale, Modewjiblog, Bagamoyo
Mwanadada aliyewahi kung’ara katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amesema moja ya sababu iliyomfanya kuanzisha taasisi yake ya kupambana madawa ya kulevya ya...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Taasisi yasaidia Saccos Sh500 mil
9 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mo Dewji Foundation yatanua mbawa, yasaidia uboreshaji wa kituo cha Furahini Mkoani K’njaro
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.
Na Mwandishi wetu
TAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha upatikanaji wa elimu katika kijiji cha Kisangara mkoani Kilimanjaro.
Imeelezwa kuwa taasisi hiyo ya bilionea Mo Dewji imetoa shilingi milioni 7 kusaidia ujenzi wa miundombinu...
9 years ago
Vijimambo27 Oct
MO DEWJI FOUNDATION YATANUA MBAWA, YASAIDIA UBORESHAJI WA KITUO CHA FURAHINI MKOANI KILIMANJARO
![User comments](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/20151002_113258.jpg)
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.
![User comments](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/20150624_120510.jpg)
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo katika jengo la kituo hicho cha Furahini ambacho kinatarajiwa kukabaratiwa na kwa msaada wa Mo Dewji Foundation.
Na Mwandishi wetuTAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha...