Wajumbe CCM waponda hotuba ya Jaji Warioba
Baadhi ya Wajumbe wa Bunge la Katiba ambao ni wanachama wa CCM, wamepinga Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kwa maelezo kuwa haiwakilishi maoni ya Watanzania walio wengi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Jaji Warioba awananga wagombea urais CCM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox6WRaK7kk5d54nBOrXPGEu6k3x-dh96B8Zt5t*mVJRtTqcUFdR7dDuSIhOjK95dNu2jfHxSfLtMLmO71hmd5nFC/wariobaaonya.jpg?width=640)
JAJI WARIOBA KUILIZA AU KUIPA KICHEKO CCM LEO
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Shambuzi la Jaji Warioba ni mbinu ya CCM kuzima mjadala wa Katiba
UKIANZA na uwongo lazima kuendelea kuusema hadi mwisho. Wataalamu husema kwamba “kuulinda uwongo ni gharama kubwa sana.” Mchakato wa katiba haramu ya CCM ulianza na fitina, vitisho na uwongo na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V4GRH-aoHgE/VfHP65kDF7I/AAAAAAAC-3w/5kp-nSFO7IY/s72-c/_MG_4716.jpg)
NAWASHANGAA MAWAZIRI WAKUU WENZANGU WALIOSTAAFU,WAKIDAI CCM MIAKA 50 HAKUNA KILICHOFANYA-JAJI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-V4GRH-aoHgE/VfHP65kDF7I/AAAAAAAC-3w/5kp-nSFO7IY/s640/_MG_4716.jpg)
WAZIRI Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba, ameibuka katika kampeni za mgombea urais wa CCM Dk. John Magufuli na kusema kuwa anashangazwa na hatua ya mawaziri wakuu wenzake kuhama CCM na kudai hakuna kilichofanyika katika miaka 54 ya Uhuru.
Pamoja na hali hiyo amesema anajua wazi huenda hata wanachokifanya hawajui wajibu wao walipokuwa...
9 years ago
Dewji Blog11 Sep
Nawashangaa mawaziri wakuu wenzangu waliostaafu, wakidai CCM miaka 50 hakuna kilichofanya-Jaji Warioba
![](http://2.bp.blogspot.com/-V4GRH-aoHgE/VfHP65kDF7I/AAAAAAAC-3w/5kp-nSFO7IY/s640/_MG_4716.jpg)
Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba akihutubia wakazi wa Butiama ambapo aliwaeleza Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.(PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-MARA).
WAZIRI Mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba, ameibuka katika kampeni za mgombea urais wa CCM Dk. John Magufuli na kusema kuwa anashangazwa na hatua ya mawaziri wakuu wenzake kuhama CCM na kudai hakuna kilichofanyika katika miaka 54 ya Uhuru.
Pamoja na hali hiyo amesema anajua wazi huenda hata wanachokifanya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Jaji Msumi hajajifunza kwa Jaji Warioba?
BAADA ya kusikia matusi, kejeli na mipasho toka kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba dhidi ya Jaji Joseph Warioba, sasa macho na masikio tunaelekeza kwa Jaji mstaafu Hamis Msumi...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wj5l-WSI6eA/VgFSUm3kmGI/AAAAAAAAn6Y/SduVxz1S-9c/s640/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Shibuda akunwa na hotuba ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda, amemuunga mkono, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, kwa kusema hotuba yake imewafumbua macho Watanzania wengi. Akizungumza na...