JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kippi Warioba, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu, uliofanyika katika Kata ya Makongo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam Jumapili Sept. 20.15. Kushoto ni Mgombea Udiwani wa Kata hiyo, Charles William Iteba. PICHA ZOTE/JOHN BADI WA DAILY MITIKASI BLOG
Waziri Mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba (katikati), akizungumza wakati akiwanadi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s72-c/1.jpg)
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-uKLJ9Ntx00A/VgFSUrXVFrI/AAAAAAAAn6Q/65ZBlXFYSkY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D6jzGhxpqTw/VgFSU7wmRFI/AAAAAAAAn6U/Tt1AlaI5QWY/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo04 Aug
Mkapa aanguka, Silaa, Kippi Warioba kidedea.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Silaa-4August2015.jpg)
Katika Jimbo la Nanyumbu, mkoani Mtwara, Willium Dua alitangazwa mshindi kwa kupata kura 6,165 huku mpinzani wake wa karibu Yahya, Mhata akipata kura 6,157.
Mbunge anayemaliza muda wake, Dastan Mkapa, alishika nafasi ya tatu 9,3945. Wengine ni Endrick Napacho kura 2,096, Majaribu Lupeto kura 931, Uledi Mwanache 497 na Hassan Wema kura...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nz9Mf0gUqBw/VeQWLhBjHpI/AAAAAAAAnvs/A5G4qp-SFTQ/s72-c/1.jpg)
CCM JIMBO LA KAWE YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU YAMNADI KIPPI WARIOBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nz9Mf0gUqBw/VeQWLhBjHpI/AAAAAAAAnvs/A5G4qp-SFTQ/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-J9s7nVCs_I8/VeQWP4PYddI/AAAAAAAAnv8/ZnQPxN7i6dE/s640/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Jaji Msumi hajajifunza kwa Jaji Warioba?
BAADA ya kusikia matusi, kejeli na mipasho toka kwa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba dhidi ya Jaji Joseph Warioba, sasa macho na masikio tunaelekeza kwa Jaji mstaafu Hamis Msumi...
10 years ago
Mtanzania04 Oct
Jaji Warioba: Najipanga
![Jaji Joseph Warioba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Warioba.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
Na Waandishi Wetu
SIKU moja baada ya Rasimu ya Katiba inayopendekezwa kupitishwa na Bunge Maalumu la Katiba, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, ameibuka na kusema kwamba atazungumza baada ya kuisoma Katiba hiyo iliyopendekezwa.
Juzi baada ya Bunge hilo kupitisha Katiba inayopendekezwa, wananchi wa kada mbalimbali, viongozi wa kisiasa, dini, wasomi na baadhi ya taasisi walionyesha wazi kutofautiana, wengine...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Jaji Warioba afura
WAKATI vita ya maneno ya mjadala wa rasimu ya pili ya katiba ikipiganwa nje na ndani ya Bunge, huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kumshambulia Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
JK amemchuuza Jaji Warioba
NILIPOONA Rais Jakaya Kikwete akilihutubia na kulizindua Bunge Maalum la Katiba, huku akiikosoa rasimu ya pili iliyowasilishwa kwake na Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba,...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Jaji Warioba ni mjumbe auwawi
YALIYOTOKEA kwenye ukumbi wa Ubungo Blue Pearl Hotel sio ndoto, sio mauzauza isipokuwa yale yaliyotabiriwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere sasa yametimia. Kwa maana hiyo Jaji Joseph Warioba...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Jaji Warioba kuhutubia Bunge