Mkapa aanguka, Silaa, Kippi Warioba kidedea.
Matokeo ya kura za maoni kugombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) yameendelea kutangazwa na kuwatupa nje baaadhi ya viggo na sura mpya kuibuka.
Katika Jimbo la Nanyumbu, mkoani Mtwara, Willium Dua alitangazwa mshindi kwa kupata kura 6,165 huku mpinzani wake wa karibu Yahya, Mhata akipata kura 6,157.
Mbunge anayemaliza muda wake, Dastan Mkapa, alishika nafasi ya tatu 9,3945. Wengine ni Endrick Napacho kura 2,096, Majaribu Lupeto kura 931, Uledi Mwanache 497 na Hassan Wema kura...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA KWENYE KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KAWE


10 years ago
Vijimambo
JAJI WARIOBA AMNADI KIPPI WARIOBA


10 years ago
Vijimambo
CCM JIMBO LA KAWE YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU YAMNADI KIPPI WARIOBA


10 years ago
Mwananchi14 Aug
Dokta Seif aanguka Rufiji, Silaa apeta Ukonga kura za maoni CCM
10 years ago
Vijimambo
BAADA YA KUIBUKA KIDEDEA KURA ZA MAONI JIMBO LA UKONGA,WANANCHI WAMPONGEZA JERRY SILAA NYUMBANI KWAKE.


11 years ago
Michuzi23 Aug
MH. PINDA AKUTANA NA MZEE MKAPA NA MAMA ANNA MKAPA JIJINI MWANZA


10 years ago
Habarileo29 Oct
Kafulila aanguka ubunge
BAADA ya mvutano, hatimaye matokeo ya jimbo la uchaguzi la Kigoma Kusini, wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma yametangazwa ambapo mbunge aliyekuwa anatetea jimbo hilo, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameanguka.
10 years ago
GPL
WASTARA AANGUKA CHOONI
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Suge Knight aanguka mahakamani