Kafulila aanguka ubunge
BAADA ya mvutano, hatimaye matokeo ya jimbo la uchaguzi la Kigoma Kusini, wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma yametangazwa ambapo mbunge aliyekuwa anatetea jimbo hilo, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameanguka.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV02 Nov
Kafulila kwenda mahakamani kuyapinga matokeo ya Ubunge
Aliyekuwa Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma Kusini Kupitia Chama cha NCCR Mageuzi David Kafulila amesema anakusudia kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliompa Ushindi Mbunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Husna Mwilima kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Octoba 25, mwaka huu.
Kafulila amesema amefikia hatua hiyo kwa lengo la kutafuta haki yake baada ya kutoridhishwa na matokeo ya kushindwa na kwamba matokeo yaliyotangazwa katika nafasi hiyo Jimboni kwake ni tofauti na yale aliyonayo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s72-c/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
MHE.DAVID KAFULILA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE TENA KATIKA JIMBO LA KIGOMA KASINI KUPITIA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s640/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1EbRIC714rs/VbshkxylXSI/AAAAAAAC9HY/aRKslwIemZk/s640/20150731001752.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CDOdbBx4crA/VbshlrvvdJI/AAAAAAAC9HU/QQsvFOWIFjI/s640/20150731001754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhcWFlabuSI/Vbshmm347FI/AAAAAAAC9Hc/XIiioSl_OPw/s640/20150731001757.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hebKFxrqqqSQmzdB3db-iJysOm10XVL85mEIS9an0iVGSTjlhO6CFEr7VnIGfLB1UNyyArOwY8IL7gFpgEgr1jW/4.jpg?width=650)
WASTARA AANGUKA CHOONI
10 years ago
BBCSwahili22 Mar
Suge Knight aanguka mahakamani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3hv03q0ZsSTfWOQ6IOPl4XTC0WteS1NGXgkWONKPui5GIhXQKLd4b0Nn23Xk9dK4xn8u7Lz5AY3wSl8n00mPqv/TFABORA.gif?width=650)
ADAIWA MSUKULE, AANGUKA PORINI
10 years ago
Habarileo03 Aug
Mahanga aanguka, akimbilia Chadema
NAIBU Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Milton Mahanga (60), amejiondoa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) siku moja baada ya kushindwa katika kura za maoni za ubunge katika Jimbo la Segerea mkoani Dar es Salaam, na sasa ameomba uanachama katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mbunge aanguka ghafla bungeni
MBUNGE wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Lackson Mwanjali ameanguka ghafla katika eneo la Bunge, mjini hapa jana. Mbunge huyu, alipatwa na mkasa huo jana majira ya saa sita mchana. Walioshuhudia tukio...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Aanguka chooni, afariki dunia
MKAZI wa Kigogo, Anthony Mbezi, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 70-75 amefariki dunia juzi baada ya kuanguka chooni. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk04kvO7XNpy96T7S8xQbH2YD8vudGBpxMmz5MchTwvqg6*BNoYzaC2eqkIuepmXvr0opSfIxi2MoIIt0aUtSCb/mtoto_anusurika_baada_ya_kuanguka_toka_orofa_ya_11_512x288_bbc_nocredit.jpg?width=600)
MTOTO AANGUKA TOKA GOROFA YA 11 ANUSURIKA