Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ADAIWA MSUKULE, AANGUKA PORINI

 Mayasa Mariwata na Shani Ramadhani DUNIA ina mengi, hili nalo moja wapo! Mwanamke mmoja anayekadiriwa kuwa na miaka 35 amekutwa porini akiwa uchi wa mnyama na hawezi kuongea hali iliyozua hofu kwa wananchi na kudai ni msukule. Mwanamke huyo baada ya kupatiwa maji na chakula. Tukio hilo lilijiri hivi karibuni maeneo ya Pugu Mnadani, wilayani Ilala jirani kabisa na Pori la Hifadhi ya Kisarawe mkoani Pwani. Baadhi ya wakazi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wagonjwa walazimika kujisaidia porini

Zahanati ya Kijiji cha Sandulula wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa, inakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwamo kukosa choo, hivyo kusababisha wagonjwa kujisaidia haja ndogo na kubwa porini.

 

11 years ago

Habarileo

Wachinja mifugo porini washughulikiwe

ONYO lililotolewa na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani kwamba serikali itaanza kuwafungia moja kwa moja wafanyabiashara wa nyama, wanaofanya uchinjaji holela, halina budi kuungwa mkono kwa kila hali ili kulinda afya ya walaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kutupa kichanga porini

Kigoma. Mkazi wa  Kijiji  cha Muhunga  kilichopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma (Gloria Rubeben(20) anashikiliwa na  polisi  mkoani humo kwa kumtupa mtoto wake wa siku nne  katika kichaka na  hatimaye kufa baada ya kuungua na moto uliowaka katika kichaka hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Mama atupa watoto watatu porini

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.

 

10 years ago

Mwananchi

RIPOTI MAALUM: Wafungwa waagiza nyama ya porini

>Katika tovuti hii wiki iliyopita tuliwaletea sehemu ya pili ya mfululizo wa Ripoti Maalumu kuhusu kubainika kuwapo kwa mtandao wa uhalifu unaowawezesha baadhi ya watu kuratibu matukio  ya uhalifu wakiwa gerezani katika mikoa ya Kanda ya Ziwa. Leo tunaendelea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amuua mchumba wake, afukia mwili porini

MKAZI wa Kijiji cha Kiroreli, wilayani Bunda, Wambura Magonze, ameuawa na mchumba wake na kisha mwili wake kufukiwa porini. Tukio hilo lilitokea Machi 22 mwaka huu, saa 3 asubuhi katika...

 

10 years ago

Michuzi

Mtu mmoja akutwa amekufa porini leo

MTU mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 27 mpaka 30 ambaye jina lake halijafahamika mpaka sasa amekutwa akining'inia juu ya mti wa Mwembe uliopo katika pori lililopo nje kidogo ya mji wa Pongwe,Mkoani Tanga akidhaniwa kuwa amejinyonga.
Hali ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi kilichomsibu mtu huyo mpaka kufikwa na mauti ya aina hiyo.
Akizungumza mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye...

 

11 years ago

Dewji Blog

Afariki dunia porini akitafuta dawa ya kienyeji

Na Nathaniel Limu, Singida

MKAZI wa Kijiji cha Chang’ombe kata, tarafa na wilaya ya Manyoni mkoani Singida Andrew Mlunda (40),amefariki dunia akiwa porini kutafuta na kuchimba dawa ya kienyeji.

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,SACP, Geofrey Kamwela amesema marehemu aliondoka nyumbani kwake juzi saa 10.00 jioni akiwa amebeba shoka na kuiaga familia yake kuwa anakwenda porini kutafuta dawa yake ya kifua kwani alikuwa anahisi maumivu.

Kamwela amesema kuwa tangu alipoondoka hakurudi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani