Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama atupa watoto watatu porini

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMA ATUPA MTOTO, KISA UGOMVI WA MAPENZI!

Gabriel Ng’osha Binadamu wamepoteza utu! Mwanamke mjamzito aliyefahamika kwa jina la mama Janeth, mkazi wa Kimara-Suka jijini Dar anadaiwa kujifungua kisha kukiweka kichanga kwenye begi na kukitupa shambani, kisa kikielezwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi na mwanaume aliyempa ujauzito. Mama anadaiwa kutupa kichanga hicho akijaribu kuangalia huku na kule kama kuna mtu anamuona alifahamika kwa jina la mama Janeth. Mmoja wa...

 

10 years ago

Vijimambo

UNAJUA WATOTO WATATU WA DEMU WA DIAMOND ZARI__WAONE HAPA__PIA KAWAJIBU WALE WANAOSEMA ANAKULA BATA TU NA DIAMOND HUKU KAWAACHA WATOTO WAKE WANATESEKA

ILA tuache utani huyu manzi ni mkaleeeeee Katika kudhihirisha kuwa NI MAMA BORA KWA WATOTO WAKE ZARI AMEWAJIBU WALE WANAODAI KAWATEKELEZA WATOTO WAKE WATATU NA KULA BATA NA DIAMOND__hivi ndivyo alivyopost katika acount yake ya FACEBOOK"Zala ababo obugumba obukatawanya mxxxuuuuiiiiii. I don't owe anyone an explanation but at the same time I have pple who look up to me and get disturbed by some false news out there.I love my soldiers. Out of the 365 days in year am responsible for 300 days and...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Futari yaua watoto watatu

WATOTO watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya kula futari inayosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Kwasunga, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

GPL

WATOTO WATATU WABAKWA KWA ZAMU!

Stori:Chande Abdallah na Deogratius Mongela
Inaumiza kusikia! Watoto watatu ambao ni majirani wamejikuta wakiingia kwenye kadhia ya kubakwa kwa zamu na watoto wenzao ambapo mmoja anadaiwa kuwa na umri wa miaka 17 huku mwingine akiwa na umri wa miaka 14 ambaye pia ni denti wa darasa la nne. Watoto watatu wadogo waliobakwa kwa zamu na watoto wenzao. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mbagala-Mianzini...

 

11 years ago

Michuzi

MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.

UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii umemtafutia kituo cha kulelea watoto wa mitaani cha Nuru Ophans Centre Mama aliyejifungua mapacha wanne na kubakia wawili baada ya kuugua Nimonia kwa ajili ya uangalizi wa karibu.  Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Hospitali hiyo kumfuata mama mwenye watoto hao Aida Nakawala(25) pamoja na mapacha wake waliobaki kutoka kijijini kwao Chiwanda Wilaya ya Momba mkoani hapa na kuwalaza hospitalini hapo kwa uangalizi...

 

10 years ago

Habarileo

Mama asoma Shule ya Msingi na wanawe watatu

Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni“TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”

 

10 years ago

Mwananchi

Mama asoma shule ya msingi na wanaye watatu

Kipindi cha nyuma hapakuweko na utaratibu wa kuandikisha wananfunzi wenye umri mkubwa darasa la kwanza, kutokana na hali hiyo wanafunzi wengi walijikuta wanaishia kukaa nyumbani ama kurudishwa nyumbani kutokana na umri wao kuwa mkubwa.

 

11 years ago

GPL

LIUNDI; ALISABABISHA MKEWE AUE WATOTO WATATU- 5

Marehemu George Liundi. ALIYEKUWA Msajili wa Vyama vya Siasa, George Liundi alisababisha mkewe Agnes Doris Liundi kuua watoto wake watatu kwa kuwanywesha sumu, sasa tuangalie mahakamani alijiteteaje? Wakili wake aliyefahamika kwa jina moja la Jadeda alisema kwamba, mtu yeyote aliyerukwa na akili anaweza kupanga hatua kwa hatua kutekeleza mauaji kama alivyofanya mtuhumiwa na asijue kama kitendo alichokifanya ni kosa. Wakili...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto watatu wafariki dunia wakiogelea Dar

Simanzi na vilio jana vilitawala katika Mtaa wa Kijitonyama Mpakani A, baada ya watoto watatu wa familia jirani kufariki dunia baada ya kuzama katika bwawa la kuogelea walipokuwa wakisherehekea siku ya kuzaliwa mtoto mwenzao aliyetimiza mwaka mmoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani