MAMA ATUPA MTOTO, KISA UGOMVI WA MAPENZI!
![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbf6etDLxcKtmIbX0yhcvqWKeWbfDvcvLNfChumC*t0iUVLJA3yxKBHctmbJo-PqLl4k1-bw3TFxrfZtnacCD4Cl/104.jpg?width=650)
Gabriel Ng’osha Binadamu wamepoteza utu! Mwanamke mjamzito aliyefahamika kwa jina la mama Janeth, mkazi wa Kimara-Suka jijini Dar anadaiwa kujifungua kisha kukiweka kichanga kwenye begi na kukitupa shambani, kisa kikielezwa kuwa ni mgogoro wa kimapenzi na mwanaume aliyempa ujauzito. Mama anadaiwa kutupa kichanga hicho akijaribu kuangalia huku na kule kama kuna mtu anamuona alifahamika kwa jina la mama Janeth. Mmoja wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi14 Sep
10 years ago
Habarileo12 Dec
Mama atupa watoto watatu porini
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mama wa watoto watatu, mkazi wa wilayani hapa, mwanzoni mwa wiki hii aliwatekeleza porini watoto hao, akiwemo mwenye umri wa miezi mitatu.
5 years ago
Bongo514 Feb
Shamsa Ford apasuka uso kisa ugomvi
Msanii wa filamu Shamsa Ford amepokea kichapo Jumanne hii katika harakati za kuamlia ugomvi wa watu ambao haijajulikana moja kwa moja ni nani, na sababu za ugomvi wao ni nini.
Malkia huyo wa filamu amekutwa na mkasa huo ikiwa ni mwezi mmoja toka aibiwe akaunti yake ya Instagram yenye followers zaidi ya milioni 2.
Muigizaji huyo amedai alipigwa ngumi ya uso katika harakati za kutafuta usalama wa watu hao ambao walikuwa wakipigana.
“Jana kwa moyo mmoja nimeenda kuamlia ugomvi watu wasipigane...
11 years ago
Habarileo02 Aug
Atupa mtoto wa siku moja kulinda ndoa yake
MTOTO wa kike mwenye umri wa siku moja amenusurika kufa baada ya kuokolewa na wasamaria kutoka katika shimo alimotupwa na mama yake mzazi.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Ali Kiba: Atoboa kuhusu 'mapenzi' na Lulu,ugomvi na Diamond-2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHeGbs8g54iNA5-e4xK3eFdEsH6RM*WrGh9hn25h3FPLNOzI4uKwD-yNLLhJHg9SUyrhNF5qlfIr1Vy15JsuPB7/wema.jpg?width=650)
WEMA AANIKA UGOMVI WAKE NA MAMA’KE
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Ajinyonga kisa? Wivu wa mapenzi
NA CHIBURA MAKORONGO,KAHAMA
MFANYAKAZI wa kampuni ya uchambuaji pamba ya Kahama Oil Mills Ltd, Yusuph Abdallah (55) amekutwa amekufa bafuni baada ya kujinyonga kutokana na wivu wa mapenzi.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mhongolo, Elias Chuma, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tano asubuhi, baada ya mfanyakazi wa usafi wa nyumba ya kampuni aliyokuwa anakaa Abdallah, Pili Makoye, kumkuta Abdallah akiwa amejinyonga.
Kiongozi huyo alisema baada ya kuona hivyo, Pili alipiga owe ambapo watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-ijkfMaQAJHh*kJfKQijX6Pc1uW3FeegoYkczUrAWe4-Xm1RMWvrxICCj86ERFgtYXK4PQuIRX8tD0tkPJbHeByN/FRONTRISASI.jpg?width=650)
WASTARA AZIMIA KISA MAPENZI