WASTARA AZIMIA KISA MAPENZI
![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-ijkfMaQAJHh*kJfKQijX6Pc1uW3FeegoYkczUrAWe4-Xm1RMWvrxICCj86ERFgtYXK4PQuIRX8tD0tkPJbHeByN/FRONTRISASI.jpg?width=650)
Waandishi wetu/Mchanganyiko DIVA wa filamu nchini, Wastara Juma ambaye kwa sasa anaripotiwa kuwa katika mapenzi na mwigizaji mwenzake, Bond Bin Suleiman anadaiwa kupoteza fahamu mara tu baada ya kupewa taarifa kuwa mpenziwe huyo amepata mtoto wa nne kwa mwanamke mwingine, Risasi Mchanganyiko linakupa stori kamili. DIVA wa filamu nchini, Wastara Juma akiwa hospitali baada ya kuzimia. TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies10 Sep
Wastara Azimia Ndani ya Gari Lake
MASKINI! Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amezimia ndani ya gari, kisa kikiwa ni sakata la dada zake kuibiana mume, Amani linaweza kuandika.
Mkasa huo wa kusikitisha ulijiri mapema wiki hii, Kinondoni, Dar ambapo staa huyo alikuwa ameegesha gari lake pembeni mwa barabara.
Kabla ya kuzimia, Wastara aliliambia Amani kuwa, kitendo cha mdogo wao (mtoto wa mama yao mdogo), Janat kupora mume wa dada yake, Naima Juma (dada wa damu wa Wastara) aitwaye Masoud na kufunga naye ndoa kimyakimya,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5Ff-nMxjbsWajLHlzw2aKqDpmsPJRhiRZpMvgIWUqVNL2v9T*3jNxCM*9Px3IOSQJ8lUrbA4UD9sDtvb7T17Nx/WASTARA.jpg)
WASTARA: STAREHE YANGU KUBWA NI MAPENZI
10 years ago
Bongo Movies19 May
Wastara Amuanika Mbaya Wake, Kisa ni Kuolewa na Marehemu Sajuki
Baada ya kipindi kirefu cha tetesi ya staa wa filamu Wastara kuhofia maisha yake, akihisi upo mpango wa kumuangamiza kwa njia mbalimbali ikiwepo ajali, staa huyo amesema tetesi hizo ni kweli na amekwishazitolea ripoti polisi.
Msanii huyo amekiri kupitia eNewz kuwa, ni kweli yupo katika tishio la maisha yake, mhusika mkubwa wa hilo akiwa mwanaume ambaye alikuwa na mahusiano yake wa zamani ambaye hawana maelewano mazuri naye.Wastara amesema kuwa, amekuwa na historia ya mahusiano mabovu na mtu...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Ajinyonga kisa? Wivu wa mapenzi
NA CHIBURA MAKORONGO,KAHAMA
MFANYAKAZI wa kampuni ya uchambuaji pamba ya Kahama Oil Mills Ltd, Yusuph Abdallah (55) amekutwa amekufa bafuni baada ya kujinyonga kutokana na wivu wa mapenzi.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mhongolo, Elias Chuma, alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tano asubuhi, baada ya mfanyakazi wa usafi wa nyumba ya kampuni aliyokuwa anakaa Abdallah, Pili Makoye, kumkuta Abdallah akiwa amejinyonga.
Kiongozi huyo alisema baada ya kuona hivyo, Pili alipiga owe ambapo watu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX1dOLdlOUpVpt55UET3tfuq02Xz20pyuZxen3xgrr*6-HVYAqR3Zo91Bz757UWaSgxoOXHd7PAmZBOAG7tMvbJF/babu.jpg?width=650)
BABU ALIVYOKATWA NYETI,KISA MAPENZI
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Aunguzwa na uji kisa wivu wa mapenzi
MSICHANA Jackline Lasway maarufu kwa jina la Pendo, mkazi wa eneo la Minga Manispaa ya Singida, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa uji wa moto na mke wa tajiri wake wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWRt5Sl1mOFDAn0Sb8oK0VFigj7QeHyVRRCrzRNz4Cys7Fiup2r6Vbt7pc6qvFSWESGDdj0OuXpn8ekPWb*b-Tkz/dogo.jpg)
DOGO JANJA ABWATUKA, KISA MAPENZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDr0YFJ3By0yJXc-odPmcItVp3J0RkmKTn5pUpI98gWlUWaE6sDjOBExCZpcvKCaJ6UmORultrqvH5J7Xu8uo14M/wivu.jpg)
AMCHOMA MUMEWE KISA WIVU WA MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbf6etDLxcKtmIbX0yhcvqWKeWbfDvcvLNfChumC*t0iUVLJA3yxKBHctmbJo-PqLl4k1-bw3TFxrfZtnacCD4Cl/104.jpg?width=650)
MAMA ATUPA MTOTO, KISA UGOMVI WA MAPENZI!