WASTARA: STAREHE YANGU KUBWA NI MAPENZI
![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5Ff-nMxjbsWajLHlzw2aKqDpmsPJRhiRZpMvgIWUqVNL2v9T*3jNxCM*9Px3IOSQJ8lUrbA4UD9sDtvb7T17Nx/WASTARA.jpg)
Makala : Gladness Mallya NIWASHUKURU wote tulioanza nao makala haya ambayo mwigizaji Wastara Juma amekuwa akifunguka kuhusiana na maisha yake, bila shaka kwa namna moja au nyingine tutakuwa tumejifunza kitu kupitia maisha yake. Mwigizaji wa filamu Bongom, Wastara Juma akipozi. Leo tunamalizia sehemu ya mwisho ya makala haya, tutaona jinsi gani alikutana na aliyekuwa mumewe, marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’. Twende...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
Wastara: Najuta Starehe Zimeniponza
STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.
![Wastara](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WASTARA13.jpg)
Wastara
Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu,...
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Wastara umekiri starehe zimekuponza, badilika kweli!
KWAKO dada yangu Wastara Juma Kilowoko. Habari za siku? Vipi unaendeleaje na shughuli zako? Bila shaka Mungu anaendelea kukupigania, ni vyema na haki ukaendelea kumtumainia yeye, maana ndiye muweza wa yote.
Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Naendelea na harakati zangu kama kawaida. Mungu ni mwema pia, anaendelea kubariki kazi za mikono yangu. Mkono unakwenda kinywani kama kawaida, naendelea kumtumainia yeye!
Dhumuni la barua hii, kwanza ni kukusalimu. Lakini baada ya salamu,...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Naseeb Abdul (Diamond): Starehe lina mchango mkubwa katika maisha yangu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vshXEK8U-ijkfMaQAJHh*kJfKQijX6Pc1uW3FeegoYkczUrAWe4-Xm1RMWvrxICCj86ERFgtYXK4PQuIRX8tD0tkPJbHeByN/FRONTRISASI.jpg?width=650)
WASTARA AZIMIA KISA MAPENZI
9 years ago
Bongo502 Jan
Nahisi mauti yapo karibu yangu – Wastara
![Wastara](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Wastara-300x194.jpg)
Ikiwa leo ni mwaka wa tatu toka msanii wa filamu, Sajuki Juma afariki dunia, mke wake Wastara Juma ameendelea kupitia mitihani mbalimbali ya maisha hali inayomfanya aombe Watanzania wamuombee dua.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wastara ameandika.
Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpaka mda huu. Sina budi kusema haya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza. Ni miaka 4 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari.
Mungu alinipa mtu wa kunipa...
10 years ago
Bongo529 Dec
Wastara: Sajuki aliondoka na nusu ya akili yangu
9 years ago
Bongo Movies02 Jan
Wastara: Nahisi Mauti Yapo Karibu Yangu
Soma vizuri ili uelewe vizuri
Naanza kwa kumshukuru mungu wangu anaenipa pumzi ya bule mpka mda huu
Sina budi kusema hya nitakayoyasema kwa ajili mwaka mpya unaonza kesho
Ni miaka 4 na miezi 6 leo imetimia toka furaha yangu ilipoingia dosari
Mungu alinipa mtu wa kunipa furaha couz kilakitu Alhamdulilah nilikuwanacho kulingana na nafasi yangu lakini sikuwa na furaha lakini furaha hiyo aikudumu nakumbuka ilikuwa mwezi 6/ 2011 marehemu sajuki alipoanza kuumwa ndipo furaha ilipoanza kupotea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZEPChIkvGBwoqn2kuFgWkgfy8iBdmwgU8T7X-yPxsGqpM0aJbOjTSxZK9uNCPYAANNXDx**PySqya3thSadSKZ/BABYMADAHA2.jpg?width=650)
BABY MADAHA MAPENZI NI HOBI YANGU
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gr1mB0eWx2c/default.jpg)