Wastara: Najuta Starehe Zimeniponza
STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.
![Wastara](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WASTARA13.jpg)
Wastara
Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu,...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5Ff-nMxjbsWajLHlzw2aKqDpmsPJRhiRZpMvgIWUqVNL2v9T*3jNxCM*9Px3IOSQJ8lUrbA4UD9sDtvb7T17Nx/WASTARA.jpg)
WASTARA: STAREHE YANGU KUBWA NI MAPENZI
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Wastara umekiri starehe zimekuponza, badilika kweli!
KWAKO dada yangu Wastara Juma Kilowoko. Habari za siku? Vipi unaendeleaje na shughuli zako? Bila shaka Mungu anaendelea kukupigania, ni vyema na haki ukaendelea kumtumainia yeye, maana ndiye muweza wa yote.
Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Naendelea na harakati zangu kama kawaida. Mungu ni mwema pia, anaendelea kubariki kazi za mikono yangu. Mkono unakwenda kinywani kama kawaida, naendelea kumtumainia yeye!
Dhumuni la barua hii, kwanza ni kukusalimu. Lakini baada ya salamu,...
11 years ago
GPLRACHEL: NAJUTA KUTAMANI KUOLEWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KGb8vxx0Ynx7VRQ7qEdf99zL0pBq-HwdjJYA4RGXgMuR3ClajxkpPZ8Fbow6uSe3ec815xqNqXD45oEGKvYsOpwSaEKCZN5/dia.jpg?width=650)
DIAMOND: NAJUTA KUWA STAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJuxWBht9blAFVidAGWNDc2mtilfYsIvxFM4tD7KTtajo9DAF3MTJA8h8G3SyxIe8RQXNTEuQTBu8KckK4qvb3q/UKOME.jpg?width=650)
WEMA: NAJUTA KUMLIPIA KAJALA MIL 13!
9 years ago
GPLMISS TZ: NAJUTA KUBEBA TAJI 2015
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Fid Q: Najuta kutoa albamu mapema
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa hip hop nchini, Farid Kubanda ‘Fid Q’ amesema anajutia kutoa albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Vina Mwanzo Kati na Mwisho’ mapema kabla mfumo wa kutumia CD kuingia Tanzania.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Fid Q alisema kuwa mfumo wa kutumia kanda ulifanya albamu hiyo kuwafikia mashabiki wachache tofauti na malengo aliyojiwekea na anaamini angetumia CD kazi yake ingewafikia wengi.
“Muda mwingine nawaza albamu yangu ningeitoa kipindi ambacho CD...
9 years ago
Bongo512 Oct
Najuta kujiingiza kwenye matumizi ya bangi — Mr Blue
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppRslKPaf65W3VrKmXfGTdVaSqkJfHqPMNpJElNB0UdBn30Rb0*Bj7Ig4lpnQaRvZ6d3i31QrEVJi4kxIv3z-dk/najuta.jpg?width=650)
VAI WA UKWELI: TAMAA YA FEDHA ILINIPONZA, NAJUTA