Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS TZ: NAJUTA KUBEBA TAJI 2015

Mrembo wa Tanzania 2014-2015, Lilian Kamazima. Na imelda mtema Mrembo wa Tanzania 2014-2015, Lilian Kamazima amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa kuna kipindi anajuta kwa nini alijiingiza kwenye mambo ya urembo kwa mwaka huo kwani hakufaidi nafasi hiyo kutokana na adhabu ya kufungiwa ambayo ilimuathiri sana. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Lilian alisema kuwa mara nyingi unaposhiriki unakuwa na matumaini ya kushinda na baada...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

10 years ago

GPL

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015. Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.…

 

9 years ago

Global Publishers

Miss Hispania atwaa taji la Miss World 2015

Crowning-Miss-World2015

Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo akivishwa taji lake.

Miss World Mireia Lalaguna Royo from Spain, center, Sofia Nikitchuk from Russia, left, the runner-up, and Maria Harfanti from Indonesia, right, the second runner-up celebrate at the end of the 2015 Miss World Grand Final in Sanya in south China's Hainan province Saturday Dec. 19, 2015. Spain's Mireia Lalaguna Royo was named the winner of the Miss World 2015 competition Saturday night in the southern Chinese island resort of Sanya, an event dogged by controversy over China's refusal to allow Canada's entrant to attend. (Chinatopix Via AP) CHINA OUT

Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo (katikati) akiwa katika pozi na mshindi wa pili Sofia Nikitchuk kutoka Urusi (kushoto) na mshindi wa tatu Maria Harfanti kutoka Indonesia (kulia).

Winner-Miss-World-2015Mireia Lalaguna Royo akipozi na washindi wenzake walioingia 5 bora.

Miss-World-2015-SA

Miss Afrika Kusini, Liesl Laurie aliyeingia katika 10 bora.

South-Sudan-Miss-World-2015

Miss Sudan Kusini, Ajah Deng (katikati) yeye aliingia 20 bora.

Top-5

5 bora.

TOP-10

10 bora.

MREMBO kutoka Hispania, Mireia Lalaguna...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Spain ashinda taji la Miss World 2015

missworld1

Mrembo wa Hispania, Mireia Lalaguna Royo mwenye umri wa miaka 23 ametangazwa mshindi wa taji la Miss World 2015 katika shindano lililofanyika Sanya, China Jumamosi ya Dec.19.

missworld1

Miss Russia, Sofia Nikitchuk ameshika nafasi ya pili huku Miss Indonesia, Maria Harfanti amekamata nafasi ya tatu.

Miss Spain ni msomi mwenye degree ya Pharmacology na ana mpango wa kusoma Masters ya Nutrition.

Jumla ya warembo 114 walishindana, na nchi zilizoingia kwenye kumi bora ni Russia, Philippines, Guyana,...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015 Pia Alonzo awaomba mashabiki waache chuki, amsifia Miss Colombia aliyenyang’anywa taji

PIA

Baada ya sintofahamu kuhusu kilichotokea kwenye shindano la Miss Universe 2015, mshindi wa taji hilo kwa mwaka huu Miss Philippines – Pia Alonzo Wurtzbach amefunguka kupitia Facebook kuwashukuru watu mbalimbali akiwemo Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi kwa dakika chache kabla ya kuvuliwa taji na kubaki kuwa mshindi wa pili.

PIA
Mrembo PIA

PIA pia amewaomba mashabiki kuacha kubishana kuhusu kile kilichotokea na kuacha kutumiana ujumbe wa chuki na kuwaambia kuwa lengo la shindano hilo ni...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA WASHINDANI WA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015

Walimbwende watakaochuana kuvaa taji la Miss Universe 2015, mashindano yatakayo fanyika huko City of Doral FL, usiku wa Tarehe 25 ndiyo hawa jitiririshe kwa picha zao chini.

Miss Universe contestant Ziphozakhe Zokufa, of South Africa, waves to her fans during the  Yamamay swimsuit runway show+24



 

9 years ago

Dewji Blog

Pia Alonzo kutoka Ufilipino ashinda taji la Miss Universe 2015

CWulpSyUkAQPa2y

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika picha ya pamoja washiriki wenzake wa Miss Universe 2015 baada ya kuvikwa taji hilo.(Picha kwa hisani ya @MissUniverse).

pia-alonso-miss-universe-philippines-winner-five-things-to-know-ftr-600x901

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach.

CWt_6bSUkAE_O-F

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika ubora wake.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach ameshinda taji la Miss Universe 2015 katika fainali ya mashindano hayo yamefanyika usiku wa jumapili, Planet Hollywood Las...

 

9 years ago

Vijimambo

AEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO

Jaji Michael Lewis McBride akimvisha taji Aeesha Kamara mara tu baada ya majaji kutengua matokea ya aliyekua mshindi wa dakika 45 kwa madai kwamba aliyevikwa taji haukua chaguo lao. Picha zote na Vijimambo Blog/Kwanza ProductionMiss Africa USA 2014-2015 akimvisha umalikia wa Miss Tanzania USA Aeesha KamaraAeesha Kamara akipata picha ya kumbukumbu na Miss Africa USA 2014-1915Aeesha KamaraKwa mapicha kibao ya jinsi mashindano hayo yalivyokua Bofya soma zaidi
Aeesha Kamara na Aziza Gama katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Real Madrid walivyopigana kishujaa kubeba taji la 10 Ulaya

UKUBWA Dawa. Inaaminika hivyo na ukweli utabaki hivyo daima, ingawa mara nyingine ukubwa huwa si dawa wala kikwazo kwa asiye na sifa hiyo (ya ukubwa) kufanya yake. Maswali mengi kuhusu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani