Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pia Alonzo kutoka Ufilipino ashinda taji la Miss Universe 2015

CWulpSyUkAQPa2y

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika picha ya pamoja washiriki wenzake wa Miss Universe 2015 baada ya kuvikwa taji hilo.(Picha kwa hisani ya @MissUniverse).

pia-alonso-miss-universe-philippines-winner-five-things-to-know-ftr-600x901

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach.

CWt_6bSUkAE_O-F

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika ubora wake.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach ameshinda taji la Miss Universe 2015 katika fainali ya mashindano hayo yamefanyika usiku wa jumapili, Planet Hollywood Las...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015 Pia Alonzo awaomba mashabiki waache chuki, amsifia Miss Colombia aliyenyang’anywa taji

PIA

Baada ya sintofahamu kuhusu kilichotokea kwenye shindano la Miss Universe 2015, mshindi wa taji hilo kwa mwaka huu Miss Philippines – Pia Alonzo Wurtzbach amefunguka kupitia Facebook kuwashukuru watu mbalimbali akiwemo Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi kwa dakika chache kabla ya kuvuliwa taji na kubaki kuwa mshindi wa pili.

PIA
Mrembo PIA

PIA pia amewaomba mashabiki kuacha kubishana kuhusu kile kilichotokea na kuacha kutumiana ujumbe wa chuki na kuwaambia kuwa lengo la shindano hilo ni...

 

9 years ago

Mtanzania

Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata

piaLOS VEGAS, MAREKANI MREMBO kutoka nchini Ufilipino, Pia Wurtzbach, amefanikiwa kutwaa taji la Miss Universe Pageant, baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka nchini Colombia, Ariadna Arevalo, kwa utatanishi. Katika hafla hiyo ambayo ilifanyika kwenye ukumbi wa Planet Hollywood Resort, nchini Marekani, iliwaacha watu midomo wazi baada ya mtangazaji, Steve Harvey, kufanya makosa wakati wa kumtangaza mshindi wa taji hilo. Harvey alijikuta akilitaja jina la mrembo kutoka nchini Colombia, Ariadna...

 

10 years ago

GPL

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015. Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.…

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Spain ashinda taji la Miss World 2015

missworld1

Mrembo wa Hispania, Mireia Lalaguna Royo mwenye umri wa miaka 23 ametangazwa mshindi wa taji la Miss World 2015 katika shindano lililofanyika Sanya, China Jumamosi ya Dec.19.

missworld1

Miss Russia, Sofia Nikitchuk ameshika nafasi ya pili huku Miss Indonesia, Maria Harfanti amekamata nafasi ya tatu.

Miss Spain ni msomi mwenye degree ya Pharmacology na ana mpango wa kusoma Masters ya Nutrition.

Jumla ya warembo 114 walishindana, na nchi zilizoingia kwenye kumi bora ni Russia, Philippines, Guyana,...

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA WASHINDANI WA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015

Walimbwende watakaochuana kuvaa taji la Miss Universe 2015, mashindano yatakayo fanyika huko City of Doral FL, usiku wa Tarehe 25 ndiyo hawa jitiririshe kwa picha zao chini.

Miss Universe contestant Ziphozakhe Zokufa, of South Africa, waves to her fans during the  Yamamay swimsuit runway show+24



 

9 years ago

Global Publishers

Pia Wurtzbach ndiye Miss Universe 2015

Las Vegas, Marekani
Usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Desemba 21, 2015 katika Ukumbi wa AXIS, Las Vegas, Nevada nchini Marekani, lile shindano kubwa la ulimbwende duniani la Miss Universe, lilitimua vumbi ambapo mrembo kutoka Ufilipino (Philippines), Pia Wurtzbach aliibuka kidedea na kuvalishwa taji hilo.Pilipinas_pia_alonzo_wurtzbach-010 Pia akiwapungia mkono mashabiki baada ya kutangazwa mshindi

Kituko katika fainali hizo, kilikuwa ni pale MC wa shindano hilo, Steve Harvey alipomtangaza kimakosa mshiriki kutoka Colombia,...

 

10 years ago

Michuzi

Caroline Bernard anyakua taji la Miss Universe 2014

 Mrembo Caroline Bernard akipungia mkono muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndio Miss Univerce 2014,katika hafla iliyofanyika usiku huu kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip,Jijini Dar es Salaam.Picha na Othman MichuziMrembo Calorine Bernard akipongezwa na washiriki wenzake.

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MISS SOUTH AFRICA Rolene STRAUSS ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014 USIKU HUU JIJINI LONDON, UINGEREZA

Warembo walioshiriki Fainali za 64 za shindano la urembo la Miss World lililofanyika usiku huu jijini London ambapo 
Miss World 2013 Megan Young tayari amemvisha Miss South Africa Rolene STRAUSS taji  la ushindi wa mwaka 2014 katika ukumbi wa mikutano na maonesho wa ExCel London Exhibition and Convention Centre. Jumla ya washiriki 125 walipanda jukwaani na kushindania taji hilo, akiwemo mrembo Happiness Watimanywa wa Tanzania. Fainali hizo zilioneshwa live hapa hapa Globu ya Jamii....angalia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani