NEWS ALERT: MISS SOUTH AFRICA Rolene STRAUSS ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014 USIKU HUU JIJINI LONDON, UINGEREZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-scpofE3Sh9I/VI25cGFBgxI/AAAAAAAG3LE/wcTnTadhjzU/s72-c/miss-world-2014.jpg)
Warembo walioshiriki Fainali za 64 za shindano la urembo la Miss World lililofanyika usiku huu jijini London ambapo
Miss World 2013 Megan Young tayari amemvisha Miss South Africa Rolene STRAUSS taji la ushindi wa mwaka 2014 katika ukumbi wa mikutano na maonesho wa ExCel London Exhibition and Convention Centre. Jumla ya washiriki 125 walipanda jukwaani na kushindania taji hilo, akiwemo mrembo Happiness Watimanywa wa Tanzania. Fainali hizo zilioneshwa live hapa hapa Globu ya Jamii....angalia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXiKii5t5ttcW9mcZ3EICMhUzinDr9j0mMoouTmOcDBdUSrd5Ywh6A30j8EHRzsbXZnVjbGO3bpqbGpUAwLwCPmIdS8S6HME/breakingnews.gif)
ROLENE STRAUSS WA AFRIKA KUSINI ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014
10 years ago
Bongo514 Dec
Rolene Strauss wa Afrika Kusini ashinda taji la Miss World
9 years ago
Bongo521 Dec
Miss Spain ashinda taji la Miss World 2015
![missworld1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/missworld1-300x194.jpg)
Mrembo wa Hispania, Mireia Lalaguna Royo mwenye umri wa miaka 23 ametangazwa mshindi wa taji la Miss World 2015 katika shindano lililofanyika Sanya, China Jumamosi ya Dec.19.
Miss Russia, Sofia Nikitchuk ameshika nafasi ya pili huku Miss Indonesia, Maria Harfanti amekamata nafasi ya tatu.
Miss Spain ni msomi mwenye degree ya Pharmacology na ana mpango wa kusoma Masters ya Nutrition.
Jumla ya warembo 114 walishindana, na nchi zilizoingia kwenye kumi bora ni Russia, Philippines, Guyana,...
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Mrembo wa Afrika Kusini ashinda taji la Miss World 2014
10 years ago
Michuzi31 Aug
RACHAEL CLAVERY ASHINDA TAJI LA MISS LAKE ZONE 2014 USUIKU HUU MJINI BUKOBA
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/JpBfQ-_fk3U0ypBZ09fiMuHwd9Vg3XClz16uGOzp-9hgJ5yfPTkxarZeohFqtdKtw_c77InOrlk0E5s7KArrjGFPndJNztAm15QJn3qVPyUPki8zQasO_oUGGmOIeygE-uVmD6xEwOQqbQDAmrtPXwWxSzVqQMo3sTeDOq5x2qgbdLzsw3mrCFGqtEcnY9l-Ush_t2iEh71v4jSqgbVw7WnT4Mfku1Gl5TD7h4bo-RNCp6SVQ0sH9K97EMEJ0gvyV29KDDutkaPWOADSi8x1Iyh1tPZCqtSrf0zB09tusjzioblMoHk=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10642723_737975172917301_1041315019_o.jpg?oh=bfbc4b4d9c6722f716140f5f0eb038d6&oe=540483E7&__gda__=1409613255_4a3d392b3a1051e5a3c6080f07fd0f3b)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/rBD0-iq6ZCt8YiVy7YHfDNGgv8ZemDN6NDmFwKtLv311BruGsjJ8qO1yf1SI3ke-esyeGWHpDGrVWTevsqhDocjftPZuwdv02XsSqp0QylTq1vsmM30DtKyfdqk7RMdtOr8MMoQXBH6u4OO4UvriQFiMEDJ-6g4Pe_qgCqg_YK2_DdOe35bpRG7sdfT0J9cMN2jZUlOQAV0KZb20p0B-CBvGOHIkNw7nsathyrNeCdmtJz5SW_KK1O3c3V_tWmnsw-Q-Z7mYKUJxGDOaT6AYWwyCouYGv04XqxnOdQAWiiZmMUzk8g=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10647364_737975276250624_660888756_o.jpg?oh=8a3f570be0a24d7b95db0002fda64b4a&oe=54047595&__gda__=1409589962_8d0706a396366d46900bc2e4654a6efe)
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
10 years ago
Vijimambo14 Dec
10 years ago
Michuzi18 Nov
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Miss South Africa crowned Miss World
Miss South Africa and 2014 Miss World Rolene Strauss reacts after being crowned during the grand final of the Miss World 2014 pageant in London on December 14, 2014 (AFP Photo/Leon Neal).
London (AFP) – Miss South Africa, 22-year-old Rolene Strauss, was crowned Miss World 2014 at the contest’s glitzy final in London on Sunday, with an estimated billion viewers watching on television around the globe.
Miss Hungary, Edina Kulcsar, was judged the runner-up and Miss United States, Elizabeth...