Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pia atwaa taji la Miss Universe kwa utata

piaLOS VEGAS, MAREKANI MREMBO kutoka nchini Ufilipino, Pia Wurtzbach, amefanikiwa kutwaa taji la Miss Universe Pageant, baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka nchini Colombia, Ariadna Arevalo, kwa utatanishi. Katika hafla hiyo ambayo ilifanyika kwenye ukumbi wa Planet Hollywood Resort, nchini Marekani, iliwaacha watu midomo wazi baada ya mtangazaji, Steve Harvey, kufanya makosa wakati wa kumtangaza mshindi wa taji hilo. Harvey alijikuta akilitaja jina la mrembo kutoka nchini Colombia, Ariadna...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA

Miss Colombia, Paulina Vega baada ya kuvishwa taji la Miss Universe 2015. Miss Jamaica Kaci Fennell (22) aliyetarajiwa na wengi kutwaa taji hilo.…

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015 Pia Alonzo awaomba mashabiki waache chuki, amsifia Miss Colombia aliyenyang’anywa taji

PIA

Baada ya sintofahamu kuhusu kilichotokea kwenye shindano la Miss Universe 2015, mshindi wa taji hilo kwa mwaka huu Miss Philippines – Pia Alonzo Wurtzbach amefunguka kupitia Facebook kuwashukuru watu mbalimbali akiwemo Miss Colombia ambaye alitangazwa mshindi kwa dakika chache kabla ya kuvuliwa taji na kubaki kuwa mshindi wa pili.

PIA
Mrembo PIA

PIA pia amewaomba mashabiki kuacha kubishana kuhusu kile kilichotokea na kuacha kutumiana ujumbe wa chuki na kuwaambia kuwa lengo la shindano hilo ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

Pia Alonzo kutoka Ufilipino ashinda taji la Miss Universe 2015

CWulpSyUkAQPa2y

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika picha ya pamoja washiriki wenzake wa Miss Universe 2015 baada ya kuvikwa taji hilo.(Picha kwa hisani ya @MissUniverse).

pia-alonso-miss-universe-philippines-winner-five-things-to-know-ftr-600x901

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach.

CWt_6bSUkAE_O-F

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach katika ubora wake.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Miss Universe wa Ufilipino, Pia Alonzo Wurtzbach ameshinda taji la Miss Universe 2015 katika fainali ya mashindano hayo yamefanyika usiku wa jumapili, Planet Hollywood Las...

 

9 years ago

Global Publishers

Miss Hispania atwaa taji la Miss World 2015

Crowning-Miss-World2015

Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo akivishwa taji lake.

Miss World Mireia Lalaguna Royo from Spain, center, Sofia Nikitchuk from Russia, left, the runner-up, and Maria Harfanti from Indonesia, right, the second runner-up celebrate at the end of the 2015 Miss World Grand Final in Sanya in south China's Hainan province Saturday Dec. 19, 2015. Spain's Mireia Lalaguna Royo was named the winner of the Miss World 2015 competition Saturday night in the southern Chinese island resort of Sanya, an event dogged by controversy over China's refusal to allow Canada's entrant to attend. (Chinatopix Via AP) CHINA OUT

Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo (katikati) akiwa katika pozi na mshindi wa pili Sofia Nikitchuk kutoka Urusi (kushoto) na mshindi wa tatu Maria Harfanti kutoka Indonesia (kulia).

Winner-Miss-World-2015Mireia Lalaguna Royo akipozi na washindi wenzake walioingia 5 bora.

Miss-World-2015-SA

Miss Afrika Kusini, Liesl Laurie aliyeingia katika 10 bora.

South-Sudan-Miss-World-2015

Miss Sudan Kusini, Ajah Deng (katikati) yeye aliingia 20 bora.

Top-5

5 bora.

TOP-10

10 bora.

MREMBO kutoka Hispania, Mireia Lalaguna...

 

9 years ago

Bongo5

Miss Universe 2015: Mc amtangaza Miss Colombia kimakosa kuwa mshindi, na baadaye kumvua taji na kumvisha mshindi halali Miss Philippines (Video/Picha)

miss universe1

Shindano la kumtafuta Miss Universe 2015 limefanyika Jumapili Dec.19 huko Hollywood, Marekani, ambapo Pia Alonzo Wurtzbach wa Philippines alitangazwa mshindi.

miss universe1
Miss Universe 2015 Pia Alonzo

Kabla ya Pia kutangazwa mshindi ilijitokeza hali ya sintofahamu, pale ambapo Mc wa tukio hilo Steve Harvey alipomtangaza kimakosa Miss Colombia kuwa ndio mshindi na kuvishwa kabisa taji.

miss colombia

Kwa dakika kadhaa Miss Colombia alikaa na taji hilo huku akipunga bendera ya nchi yake akionekana mwenye furaha.

miss universe-2
Miss...

 

10 years ago

GPL

SITTI MTEMVU ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014

Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Mtemvu katika pozi na mshindi wa pili, Lillian Kamazima (kulia) pamoja na mshindi wa tatu, Jihhan Dimachk baada ya kutangazwa mshindi. MREMBO Sitti Mtemvu kutoka Temeke ametwaa taji la Miss Tanzania 2014 na kujinyakulia kitita cha milioni 18 usiku huu katika…

 

11 years ago

Michuzi

AMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA MISS TABATA 2014

Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akitabasamu baada ya kutangazwa  rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata. Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa Da'west Park,Tabata jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Jumamosi. Wengine pichani ni Mshindi wa Pili wa shindano hilo,  Faudhia Feka (kulia) pamoja na Mshindi wa Tatu, Ramta Mkadara .   Miss Tabata...

 

11 years ago

GPL

AMINA SALIM ATWAA TAJI LA MISS MBAGALA 2014

Miss Mbagala 2014, Amina Salim akipokea zawadi baada ya kutwaa taji hilo. Miss Mbagala 2014 akikabidhiwa zawadi ya DSTV.
Majaji wakiwa…

 

10 years ago

Vijimambo

JITIRIRISHE NA WASHINDANI WA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015

Walimbwende watakaochuana kuvaa taji la Miss Universe 2015, mashindano yatakayo fanyika huko City of Doral FL, usiku wa Tarehe 25 ndiyo hawa jitiririshe kwa picha zao chini.

Miss Universe contestant Ziphozakhe Zokufa, of South Africa, waves to her fans during the  Yamamay swimsuit runway show+24



 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani