AMINA SALIM ATWAA TAJI LA MISS MBAGALA 2014
Miss Mbagala 2014, Amina Salim akipokea zawadi baada ya kutwaa taji hilo. Miss Mbagala 2014 akikabidhiwa zawadi ya DSTV. Majaji wakiwa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziAMBASIA MALIY ATWAA TAJI LA MISS TABATA 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlQix8gYlXT*181j-yqQkKAHdGTfSIqi1-f72rOWR-ppDQ5ET9ND8gslO24mjCQqkZtCL-2Xkz2FrOye8ZHhyQc7/breakingnews.gif)
SITTI MTEMVU ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA 2014
11 years ago
Bongo511 Aug
Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Sitti Mtemvu atwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014
MREMBO Sitti Abbas Mtemvu kutoka Temeke, juzi usiku alitwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, baada ya kuibuka kidedea katika fainali za shindano hilo lililofanyika ukumbi wa Mlimani City, jijini...
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/141.jpg)
Ambasia Maliy atwaa taji la Redd’s Miss Tabata 2014
Redd’s Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akitabasamu baada ya kutangazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata.
Redd’s Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa Da’west Park,Tabata jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia jumamosi.Wengine pichani ni Mshindi wa Pili wa shindano hilo, Faudhia Feka (kulia) pamoja na Mshindi wa Tatu, Ramta Mkadara .
![23](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/231.jpg)
10 years ago
VijimamboJihan Dimachk atwaa taji la Redd's Miss Tanzania Top Model 2014
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC01863.jpg)
Doris Mole (23) atwaa taji la Miss Singida 2014, apewa kitita cha shilingi laki tano
Huyu ndiye Miss Singida 2014 Doris Mole (23) akiwa na mshindi wa pili Blath Chambo na mshindi wa tatu Lulu Abdul.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Doris Molel (23) Mwanafunzi katika chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salam anayesomea siasa na Maendeleo ya Jamii mwaka wa tatuametwaa taji la Miss Singida Redds 20014.
Katika shindano hilo lililofanyika jana kwenye ukumbi wa chuo ha Uhazili Mjini hapa Molel, mbali na kutwaa taji hilo alijinyakulia kitita cha shilingi laki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FXkXptW89jJ*T8rGAetlkdYmKrh6Dh8GIiM*7NI0CSIo4f5Hh-V*GYUqUULgEFNLIzFraP8Q6cKdy9em0n96ncG-7aLFHRQh/1.jpg?width=650)
MISS COLOMBIA PAULINA VEGA ATWAA TAJI LA MISS UNIVERSE 2015, UMATI WAZOMEA
9 years ago
Global Publishers20 Dec
Miss Hispania atwaa taji la Miss World 2015
Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo akivishwa taji lake.
Miss World 2015 Mireia Lalaguna Royo (katikati) akiwa katika pozi na mshindi wa pili Sofia Nikitchuk kutoka Urusi (kushoto) na mshindi wa tatu Maria Harfanti kutoka Indonesia (kulia).
Mireia Lalaguna Royo akipozi na washindi wenzake walioingia 5 bora.
Miss Afrika Kusini, Liesl Laurie aliyeingia katika 10 bora.
Miss Sudan Kusini, Ajah Deng (katikati) yeye aliingia 20 bora.
5 bora.
10 bora.
MREMBO kutoka Hispania, Mireia Lalaguna...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10