AEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO
Jaji Michael Lewis McBride akimvisha taji Aeesha Kamara mara tu baada ya majaji kutengua matokea ya aliyekua mshindi wa dakika 45 kwa madai kwamba aliyevikwa taji haukua chaguo lao. Picha zote na Vijimambo Blog/Kwanza Production
Miss Africa USA 2014-2015 akimvisha umalikia wa Miss Tanzania USA Aeesha Kamara
Aeesha Kamara akipata picha ya kumbukumbu na Miss Africa USA 2014-1915
Aeesha KamaraKwa mapicha kibao ya jinsi mashindano hayo yalivyokua Bofya soma zaidi
Aeesha Kamara na Aziza Gama katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMISS TANZANIA USA: MAJAJI WAMPOKONYA USHINDI DOREEN PANGA NA KUMVIKA TAJI AEESHA KAMARA NJE YA UKUMBI
Doreen Panga kutoka New York usiku wa Aug 22, 2015, alivuliwa taji la Miss Tanzania USA na majaji wa shindano hilo nje ya ukumbi taji alilolivaa kwa dakika 45 na kumvika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s72-c/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
MISS TANZANIA USA 2015-2016 AEESHA KAMARA ASHINDA KUWA COVER GIRL KWENYE CALENDA YA MISS AFRICA USA
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s640/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara ashinda kuwa Cover Girl kwenye kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s640/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara (kushoto) akiibuka mshindi na kuwa Cover Girl kwenye Kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016 shindano ililofanyika New York siku ya Jumamosi Novemba 28, 2015.
Mamiss wengine walioshiriki shindano hilo wakipita mbele ya majaji.
Wadau wakipata picha na mamiss wakati mratibu wa mashindano ya miss Africa Lady Kate alipokua akitangaza shindi.
Ma Winny Casey (gauni jeusi) pamoja na Lady Kate (mwenye miwani) wakiwa na mamiss.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4PQliGKtdN0/VAYPAnaPnUI/AAAAAAAGb7Y/jiDFvyOo99A/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Aysha Cheyo anyaku taji la Miss Tanzania USA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-4PQliGKtdN0/VAYPAnaPnUI/AAAAAAAGb7Y/jiDFvyOo99A/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BPxeV3uLhJ0/VAYPAv6y-PI/AAAAAAAGb70/FoqVE-DsBUQ/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPaurYmGjMY/VAYPAmioInI/AAAAAAAGb7c/bECfrWGPAp8/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-k1Eu9R0GpBI/VAYPBn_DtuI/AAAAAAAGb7g/jNgPls5DCp8/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mwS05Mhpk_M/VFQAX6PQqZI/AAAAAAAGucs/zb5niPMlXvc/s72-c/MMGM0343.jpg)
Caroline Bernard anyakua taji la Miss Universe 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-mwS05Mhpk_M/VFQAX6PQqZI/AAAAAAAGucs/zb5niPMlXvc/s1600/MMGM0343.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-enfaXKOtLbw/VFQAY2Ab-CI/AAAAAAAGuc0/manaim7FQOo/s1600/MMGM0352.jpg)
10 years ago
Vijimambo10 Nov
BAADA YA SITTI KUVUA TAJI LA MISS TANZANIA 2014 MAPYA YAIBUKA
Stori: Chande Abdallah, Deogratius Mongela na Musa Mateja wa GPL
TENA! Saa chache tu baada ya Miss Tanzania 2014 aliyezua tafrani la kuchakachua umri kwa kujipunguzia miaka 2 ya kuzaliwa, Sitti Abbas Mtemvu kujisalimisha kwa kujivua taji mwenyewe, mapya yameibuka na Ijumaa Wikienda lina mzigo...
11 years ago
Bongo511 Aug
Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014
9 years ago
MillardAyo23 Dec
Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016
Headlines za Arsenal kufanya vizuri bado zinagonga vichwa vya habari vya magazeti mengi ya michezo dunini, Arsenal kwa sasa ndio timu inayopewa nafasi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Uingereza msimu wa 2015/2016. Sababu za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa ubingwa sio kwa sababu kaifunga Man City. Hizi ndio sababu tano za Arsenal kupewa nafasi […]
The post Baada ya miaka 11 bila taji la EPL, hizi ndio sababu 5 za Arsenal kupewa nafasi ya kutwaa taji hilo msimu wa 2015/2016 appeared first on...
11 years ago
Dewji Blog29 May
Warembo wanaowania taji la Miss Tabata 2014 waendelea kujinoa ukumbi wa Dar West Park
Warembo wanaoshindania miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi wakati wa mazoezi ya shindano hilo na fainali itakalofanyika siku ya Ijumaa tarehe 06/06/ 2014. Mashindano haya ya Miss Tabata 2014 yatafanyika kwenye ukumbi wa Dar West Park.
Mwalimu Pasilida Mandari anayewanoa warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 akizungumza na warembo hao wakati wa mazoezi.
Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 wakiwa watokelezea kwenye pozi...