MISS TANZANIA USA: MAJAJI WAMPOKONYA USHINDI DOREEN PANGA NA KUMVIKA TAJI AEESHA KAMARA NJE YA UKUMBI
Aeesha Kamara sasa ndiye mshindi wa Miss Tanzania USA pageant
Miss Africa 2014-15 akipata picha ya pamoja na Doreen Panga baada ya kuvikwa taji la Miss Tanzania USA
Miss Africa 2014-15 akipata picha ya pamoja na Aeesha Kamara baada kuvikwa taji na maamuzi ya majaji ambao hawakukubaliana na mshindi aliyetangazwa kwanza.
Doreen Panga kutoka New York usiku wa Aug 22, 2015, alivuliwa taji la Miss Tanzania USA na majaji wa shindano hilo nje ya ukumbi taji alilolivaa kwa dakika 45 na kumvika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboAEESHA KAMARA ANYAKUA TAJI LA MISS TANZANIA USA AVIKWA TAJI NJE YA UKUMBI BAADA YA MAJAJI KUTENGUA MATOKEO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s72-c/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
MISS TANZANIA USA 2015-2016 AEESHA KAMARA ASHINDA KUWA COVER GIRL KWENYE CALENDA YA MISS AFRICA USA
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s640/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara ashinda kuwa Cover Girl kwenye kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016
![](http://1.bp.blogspot.com/-VYvD1cQL68I/Vl0Hwko5TII/AAAAAAAEHX8/PDfYs9mIjwo/s640/12274298_1690775631145762_1039428417739292760_n.jpg)
Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara (kushoto) akiibuka mshindi na kuwa Cover Girl kwenye Kalenda ya Miss Africa USA 2015-2016 shindano ililofanyika New York siku ya Jumamosi Novemba 28, 2015.
Mamiss wengine walioshiriki shindano hilo wakipita mbele ya majaji.
Wadau wakipata picha na mamiss wakati mratibu wa mashindano ya miss Africa Lady Kate alipokua akitangaza shindi.
Ma Winny Casey (gauni jeusi) pamoja na Lady Kate (mwenye miwani) wakiwa na mamiss.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4PQliGKtdN0/VAYPAnaPnUI/AAAAAAAGb7Y/jiDFvyOo99A/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Aysha Cheyo anyaku taji la Miss Tanzania USA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-4PQliGKtdN0/VAYPAnaPnUI/AAAAAAAGb7Y/jiDFvyOo99A/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BPxeV3uLhJ0/VAYPAv6y-PI/AAAAAAAGb70/FoqVE-DsBUQ/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPaurYmGjMY/VAYPAmioInI/AAAAAAAGb7c/bECfrWGPAp8/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-k1Eu9R0GpBI/VAYPBn_DtuI/AAAAAAAGb7g/jNgPls5DCp8/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
11 years ago
Michuzi31 Jul
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
![IMG-20140727-WA0011](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg)
Mpigie Kura Miss Tanzania USA, Joy Kalemera anayeshiriki kinyang'ayiro cha kumtafuta Miss Africa USA. Mtangazaji wa Mimi Na Tanzania Hoyce Temu ambaye pia ni Miss Tanzania 1999 yupo nchini Marekani na amefanya mahojiano na mrembo huyo.Usikose kuangalia marudio ya mahojiano hayo kwenye kipindi cha "Mimi na Tanzania" Jumamosi ya tarehe 2 August ,2014...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG-20140727-WA0011.jpg?width=600)
HOYCE TEMU AHAMASISHA WATANZANIA KUMPIGIA KURA MISS TANZANIA USA 2014 KWENYE KINYANG'ANYIRO CHA MISS AFRICA USA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-_BpOOAQQ8hw/VibZ5XIdXdI/AAAAAAAECyg/0pYf7Xb8jzY/s72-c/12144834_10207974588981749_554016879842034204_n%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Bongo511 Aug
Mrembo wa Ethiopia atwaa taji la Miss Africa USA 2014
11 years ago
Dewji Blog29 May
Warembo wanaowania taji la Miss Tabata 2014 waendelea kujinoa ukumbi wa Dar West Park
Warembo wanaoshindania miss Tabata 2014 wakiwa kwenye pozi wakati wa mazoezi ya shindano hilo na fainali itakalofanyika siku ya Ijumaa tarehe 06/06/ 2014. Mashindano haya ya Miss Tabata 2014 yatafanyika kwenye ukumbi wa Dar West Park.
Mwalimu Pasilida Mandari anayewanoa warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 akizungumza na warembo hao wakati wa mazoezi.
Warembo watakaochuana vikali kwenye shindano la Miss Tabata 2014 wakiwa watokelezea kwenye pozi...