Wastara umekiri starehe zimekuponza, badilika kweli!
KWAKO dada yangu Wastara Juma Kilowoko. Habari za siku? Vipi unaendeleaje na shughuli zako? Bila shaka Mungu anaendelea kukupigania, ni vyema na haki ukaendelea kumtumainia yeye, maana ndiye muweza wa yote.
Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Naendelea na harakati zangu kama kawaida. Mungu ni mwema pia, anaendelea kubariki kazi za mikono yangu. Mkono unakwenda kinywani kama kawaida, naendelea kumtumainia yeye!
Dhumuni la barua hii, kwanza ni kukusalimu. Lakini baada ya salamu,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies20 Dec
Wastara: Najuta Starehe Zimeniponza
STAA wa filamu Bongo, Wastara Juma amesema kitu ambacho kimemponza na kumfanya asumbuliwe na mguu wake mara kwa mara ni kujisahau sana katika starehe kwa kuwa hajawahi kujikubali kuwa ni mlemavu.
![Wastara](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/WASTARA13.jpg)
Wastara
Akipiga stori na paparazi wetu Wastara alisema, tangu alipopatwa na tatizo hilo la mguu kwenye fikra zake hakutaka kukubali matokeo, siku zote alipenda aishi kama alivyokuwa mzima ikiwa ni pamoja na kwenda kwenye muziki na kucheza.
“Siyo siri nilijisahau sana, sikupenda kujiona mlemavu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa5Ff-nMxjbsWajLHlzw2aKqDpmsPJRhiRZpMvgIWUqVNL2v9T*3jNxCM*9Px3IOSQJ8lUrbA4UD9sDtvb7T17Nx/WASTARA.jpg)
WASTARA: STAREHE YANGU KUBWA NI MAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdjZ*D3yxaVUkHTbTKqa9YxtCv*gGY7mePg8Da4jyGoALVs4RfBZWPXRbmT3pcSEq5g-Qoxojwb*Vkxx8fNTo3Fk/ERICK.jpg)
LUNDENGA; USITAFUTE MCHAWI, BADILIKA! KWAKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W8k9GghxLBua807hsiiP3HMBaKb6Ima6k2KBZX4JehaMawOfzGW7kw4tfb315k3nEahxppRpdgipi6KxRSRa4WE5jHHIAqOh/bongelademu.jpg?width=650)
KAKA BADILIKA, UTAFIKIRI TAA YA TRENI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s72-c/LEMUTUZII899.jpg)
Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli
![](http://2.bp.blogspot.com/-akUSMuMoELE/VLYtEZkZc2I/AAAAAAAAmcQ/AHNbTksNfQc/s640/LEMUTUZII899.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Unaposoma unaweza kutambua taarifa anazoandika mtunzi zilizo kweli na zisizo kweli?
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Muziki ni zaidi ya dansi na Starehe -3
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Vijana watakiwa kutoendekeza starehe
VIJANA wameshauriwa kutokuendekeza starehe zisizo na maana kwao, bali wajikite kwenye mambo ya msingi na yenye faida katika maisha yao ya baadaye. Rai hiyo imetolewa na jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Habarileo26 Oct
DC: Wazazi acheni ulevi na starehe
MKUU wa Wilaya ya Mlele mkoani Katavi , Ngemela Lubinga amekemea tabia ya baadhi ya wazazi na walezi wilayani humo, kuendekeza ulevi na starehe huku wakikaidi kuwekeza katika maendeleo ya elimu ya watoto wao.