Muziki ni zaidi ya dansi na Starehe -3
Nimeajiriwa kufanya warsha za muziki, siku tatu mfululizo. Chumba nilichopo kimepambwa picha za rangi nzuri ili kuwapendeza na kuwatuliza watoto. Hawa ni walemavu wa aina mbalimbali. Wapo walio katika vigari vinavyosukumwa , baadhi hawawezi kupumua, wana mirija inayopitia chupa za hewa, wengine wameumia kiasi ambacho ubongo au mioyo yao inaendeshwa kwa betri maalumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Jul
KUTOKA LONDON : Muziki ni zaidi ya dansi na na starehe -2
10 years ago
Mwananchi28 Jun
Muziki una faida kuzidi dansi na starehe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqymNL4Ef*toM4vOGB6gIZ4mFPUpx1ZsjMqjiAHZmys6ybRxgsYSQ161ul1E9iwAME2FXG3symYPkK1rPr6UyZJG/1.jpg?width=650)
WADAU WA MUZIKI WA DANSI WAKUTANISHWA NA TBC
11 years ago
Michuzi06 Apr
TBC YAKUTANISHA WADAU WA MUZIKI WA DANSI
11 years ago
Mwananchi17 May
Muziki wa dansi umejinyonga na kamba yake?
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Mchawi muziki wa dansi ni wanamuziki wenyewe
AHLANWASHLAN msomaji wa safu ya Busati. Leo nitazungumzia anguko la muziki wa dansi nchini. Kama wengi tujuavyo, muziki wa dansi hivi sasa umepoteza umaarufu wake kwa wadau huku waangushaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Cheza Kidansi wakutana kujadili muziki wa dansi
WADAU wa muziki wa dansi wanaotokea katika mkusanyiko unaojulikana kama Cheza Kidansi, juzi walifanya kikao cha kwanza na kuazimia mpango wao kuwawezesha wanamuziki wa muziki huo na kuwakwamua kiuchumi. Kikao...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhO7kv*IDFuXoizdaSVsptvebY3M1hhWorxf14iSnCc6DOF7t-GpU6RDNfI1C0IN8HqT8Y2tyO7fywDcmoTpnHOc/10327223_703600356344993_1579191149_n.jpg?width=650)
MSIKILIZE MUUMIN AKIZIKOSOA TUZO TATU ZA MUZIKI WA DANSI
10 years ago
Dewji Blog09 Nov
Msanii wa muziki wa dansi nchini Amigolas amefariki dunia
Msanii aliyewahi kuwa mwimbaji wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘a.k.a Amigolas (pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu
MOblog inajaribu kufanya mawasiliano ya karibu kwa njia ya simu na mjomba wa marehemu Bw. Rajab Ahmed ili kujua marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi gani.
MOblog inaunga na familia ya marehemu katika kuombeleza kifo cha Khamis Kayumbu na mwenyezi...