Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muziki ni zaidi ya dansi na Starehe -3

Nimeajiriwa kufanya warsha za muziki, siku tatu mfululizo. Chumba nilichopo kimepambwa picha za rangi nzuri ili kuwapendeza na kuwatuliza watoto. Hawa ni walemavu wa aina mbalimbali. Wapo walio katika vigari vinavyosukumwa , baadhi hawawezi kupumua, wana mirija inayopitia chupa za hewa, wengine wameumia kiasi ambacho ubongo au mioyo yao inaendeshwa kwa betri maalumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Muziki ni zaidi ya dansi na na starehe -2

Swali la kwanza unapomweleza Mtanzania unapiga muziki huwaje? “Bendi yenu ina watu wangapi?” Au “ Mnapiga densi wapi?”

 

10 years ago

Mwananchi

Muziki una faida kuzidi dansi na starehe

Hamu ya baadhi ya Waafrika kukimbilia Uzunguni imechemka tena.

 

11 years ago

GPL

WADAU WA MUZIKI WA DANSI WAKUTANISHWA NA TBC

Wadau wa muziki wa dansi wakiwa katka picha ya pamoja. Wadau wa muziki wa dansi, Asha Kigundula na mwandishi wa Gazeti la Mwananchi wakifuatilia mdahalo huo.…

 

11 years ago

Michuzi

TBC YAKUTANISHA WADAU WA MUZIKI WA DANSI

Baadhi ya wasanii wakongwe wa bendi mbalimbali wakiwa katika mdahalo wa muziki wa dansi kutoka kushoto ni King Kiki, Juma Ubao, Mafumu Bilali 'Bombenga' Kassimu Mapili na Waziri Ally Wadau wa muziki wa dansi wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika mdahalo. Kwa habari kamili na picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Mwananchi

Muziki wa dansi umejinyonga na kamba yake?

Ni huzuni. Kumbi za muziki wa dansi ziko tupu. Bendi maarufu karibu zote zilizotamba miaka ya 70 na 90 zimebaki kuwa historia. Chache zilizokuwapo tunashuhudia wanamuziki wake wakipigia viti vitupu katika baa za kawaida kabisa, zilizopo pembezoni mwa jiji la Dar es salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchawi muziki wa dansi ni wanamuziki wenyewe

AHLANWASHLAN msomaji wa safu ya Busati. Leo nitazungumzia anguko la muziki wa dansi nchini. Kama wengi tujuavyo, muziki wa dansi hivi sasa umepoteza umaarufu wake kwa wadau huku waangushaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cheza Kidansi wakutana kujadili muziki wa dansi

WADAU wa muziki wa dansi wanaotokea katika mkusanyiko unaojulikana kama Cheza Kidansi, juzi walifanya kikao cha kwanza na kuazimia mpango wao kuwawezesha wanamuziki wa muziki huo na kuwakwamua kiuchumi. Kikao...

 

11 years ago

GPL

MSIKILIZE MUUMIN AKIZIKOSOA TUZO TATU ZA MUZIKI WA DANSI

Mwimbaji nyota wa muziki wa dansi, Mwinjuma Muumin. MWIMBAJI nyota wa muziki wa dansi, Mwinjuma Muumin amezikosoa tuzo tatu za muziki wa dansi zilizotolewa Jumamosi, Mlimani City katika usiku wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards.  Muumin alitoa tathmini yake jana mchana katika ofisi za Saluti5 ambapo alisema hakubaliani na Mashujaa Band kupewa tuzo ya bendi bora ya mwaka, hakubaliani pia na Jose Mara kuwa mwimbaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Msanii wa muziki wa dansi nchini Amigolas amefariki dunia

amigo

Msanii aliyewahi kuwa mwimbaji wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘a.k.a Amigolas (pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu

MOblog inajaribu kufanya mawasiliano ya karibu kwa njia ya simu na mjomba wa marehemu Bw. Rajab Ahmed ili kujua marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi gani.

MOblog inaunga na familia ya marehemu katika kuombeleza kifo cha Khamis Kayumbu na mwenyezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani