Msanii wa muziki wa dansi nchini Amigolas amefariki dunia
Msanii aliyewahi kuwa mwimbaji wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘a.k.a Amigolas (pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu
MOblog inajaribu kufanya mawasiliano ya karibu kwa njia ya simu na mjomba wa marehemu Bw. Rajab Ahmed ili kujua marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi gani.
MOblog inaunga na familia ya marehemu katika kuombeleza kifo cha Khamis Kayumbu na mwenyezi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
Breaking News…Msanii wa muziki wa dansi Banza Stone amefariki dunia!
Chanzo kupitia akaunti ya twitter ya Power breakfast ya Clouds radio.
Taarifa zaidi hapo baadae kidogo, Modewjiblog inafanya mawasiliano na ndugu wa karibu wa marehemu Banza Stone.
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
BASATA yaomboleza kifo cha msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Shem Ibrahim Kalenga
Marehemu Shem Ibrahim Kalenga enzi za uhai wake.
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za msiba wa msanii nguli wa tasnia ya muziki wa Dansi nchini Shem Ibrahim Kalenga
“ Baraza limestushwa na kuhuzunishwa sana kutokana na taarifa ya kifo hiki cha Shem Ibrahim Kalenga ambaye mchango wake katika muziki wa Dansi ni mkubwa mno na unahitajika sana, pengo aliloliacha ni kubwa kwani ubunifu wake bado unahitajika katika tasnia hii.” Baraza linatoa pole kwa...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Muasisi wa kundi la muziki Ladysmith Black Mambazo Joseph Shabalala amefariki dunia
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Ken Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OkhFkN8a5kY/VoY8xML1JJI/AAAAAAAIPqg/CVkMnezlWZA/s72-c/01.jpg)
MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA MWAKA 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-OkhFkN8a5kY/VoY8xML1JJI/AAAAAAAIPqg/CVkMnezlWZA/s640/01.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0GXViiKLKo/VbPgN2oLLKI/AAAAAAAHr3U/zI-l7iLHUu8/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA NUSU YA KWANZA YA MWAKA 2015
UTANGULIZI (PREAMBLE)•Mwanzoni mwa mwezi wa 7 ndio nusu ya mwaka. Zinakuwa zimepita siku 182 (au 183 kwa mwaka mrefu) na kubaki siku 182.•Yafuatayo ni matukio makubwa ya muziki wa dansi kwa nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0GXViiKLKo/VbPgN2oLLKI/AAAAAAAHr3U/zI-l7iLHUu8/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
BENDI MPYA•Tarehe 31-Jan-2015, BMM Classic Band, ilizinduliwa katika ukumbi wa BMM Mwenge, opposite TRA.•Tarehe 21-Feb-2015, JJ Band yazinduliwa katika ukumbi wa. JJ Band ni bendi dada ya Skylight Band itakayokuwa inatumbuiza mjini Mwanza katika hotel...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s72-c/MEZ-B2.jpg)
JUST IN: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA,MEZ B AFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-4kob-ACIQRY/VOccIZLTLUI/AAAAAAAHEw0/NKJcUiVLn8U/s1600/MEZ-B2.jpg)
Mez B amewahi kulazwa na kuruhusiwa mara kadhaa katika hospitali ya Dodoma na hivi karibuni alizidiwa na kulazwa mkoani humo mpaka umauti...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s72-c/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI NCHINI TBC FLORENCY DYAULI AMEFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s320/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
FRORENCE DYAULI amefariki dunia majira ya saa kumi alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya RABININSIA MEMORIAL jijini Dar es Salaam, ambako alikuwa akipata matibabu.
Dyauli alizaliwa tarehe 27 mwezi wa saba mwaka 1961 na amefariki dunia tarehe 18/06/2015.Marehemu DYAULI alisoma shule ya msingi CHANG’OMBE mwaka 1968 hadi...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Muziki ni zaidi ya dansi na Starehe -3