MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA NUSU YA KWANZA YA MWAKA 2015

Na Willliam Kaijage
UTANGULIZI (PREAMBLE)•Mwanzoni mwa mwezi wa 7 ndio nusu ya mwaka. Zinakuwa zimepita siku 182 (au 183 kwa mwaka mrefu) na kubaki siku 182.•Yafuatayo ni matukio makubwa ya muziki wa dansi kwa nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2015
BENDI MPYA•Tarehe 31-Jan-2015, BMM Classic Band, ilizinduliwa katika ukumbi wa BMM Mwenge, opposite TRA.•Tarehe 21-Feb-2015, JJ Band yazinduliwa katika ukumbi wa. JJ Band ni bendi dada ya Skylight Band itakayokuwa inatumbuiza mjini Mwanza katika hotel...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA MWAKA 2015

10 years ago
Michuzi.jpg)
TATHMINI YA PAPA KAIJAGE KUHUSU MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI KWA MWAKA 2014…
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Vijimambo01 Jan
Heri ya Mwaka Mpya - Karibu Ibada ya Kwanza 2015 - Jumapili 01/04/2015 Kuanzia Saa tisa na nusu alasiri
Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015.
Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya.
Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!

11 years ago
Michuzi
Benki ya Diamond Trust (DTB) yatangaza mafanikio yake makubwa kwa nusu mwaka wa 2014

Bwa.Viju alisema...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 …
Mtu wangu wa nguvu najua tunaelekea kuuaga mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016. Kaabla ya kumalizika mwaka 2015 naomba nikusogezee video ya matukio ya kuchekesha katika soka yaliyotokea kwa mwaka 2015. Katika hii video kuna matukio ya Pep Guardiola na Frank Ribery. Jamaa kumbiss Zlatan Ibrahimovic. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka […]
The post Kabla ya kuuanza mwaka mpya, kutana na video ya matukio ya soka ya kuchekesha kwa mwaka 2015 … appeared first on...
10 years ago
Bongo522 Apr
Davido kuhitimu shahada ya kwanza mwezi June 2015, ni baada ya kuacha shule mwaka 2011 kwaajili ya muziki
10 years ago
Michuzi
nyota wa muziki wa dansi na taarabu kutambulisha wimbo wa "amani kwanza' leo mango garden jijini Dar es salaam

10 years ago
Dewji Blog09 Nov
Msanii wa muziki wa dansi nchini Amigolas amefariki dunia
Msanii aliyewahi kuwa mwimbaji wa Bendi ya African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Khamis Kayumbu ‘a.k.a Amigolas (pichani) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu
MOblog inajaribu kufanya mawasiliano ya karibu kwa njia ya simu na mjomba wa marehemu Bw. Rajab Ahmed ili kujua marehemu alikuwa akisumbuliwa na maradhi gani.
MOblog inaunga na familia ya marehemu katika kuombeleza kifo cha Khamis Kayumbu na mwenyezi...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Baadhi ya Matukio ya Kukumbukwa kwa Mwaka 2015
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Uganda, Paul Kagame baada ya kumaliza muda wake.
Mama Salma Kikwete (katikati) akisalimiana na mumewe, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuachia kijiti cha uraisi
Jeshi la ulinzi la Tanzania lilivyopendeza siku ya kuapishwa kwa Rais Magufuli Novemba 5, 2015.
Tukio la maji kujaa katika daraja la Jangwani kipindi cha mvua mwezi Februari 2015.
Raisi wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...