Davido kuhitimu shahada ya kwanza mwezi June 2015, ni baada ya kuacha shule mwaka 2011 kwaajili ya muziki
Staa wa Nigeria, David ‘Davido’ Adeleke ambaye anatokea kwenye familia bora na aliyepata mafanikio makubwa kupitia muziki, aliwahi kuacha shule mwaka 2011 ili afanye muziki. Lakini baada ya kupata ushauri na kugundua umuhimu wa elimu alikubali kurudi shule na hatimaye sasa anakaribia kuhitimu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Davido ameshare furaha yake ya kumaliza mitihani […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0GXViiKLKo/VbPgN2oLLKI/AAAAAAAHr3U/zI-l7iLHUu8/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA NUSU YA KWANZA YA MWAKA 2015
UTANGULIZI (PREAMBLE)•Mwanzoni mwa mwezi wa 7 ndio nusu ya mwaka. Zinakuwa zimepita siku 182 (au 183 kwa mwaka mrefu) na kubaki siku 182.•Yafuatayo ni matukio makubwa ya muziki wa dansi kwa nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z0GXViiKLKo/VbPgN2oLLKI/AAAAAAAHr3U/zI-l7iLHUu8/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
BENDI MPYA•Tarehe 31-Jan-2015, BMM Classic Band, ilizinduliwa katika ukumbi wa BMM Mwenge, opposite TRA.•Tarehe 21-Feb-2015, JJ Band yazinduliwa katika ukumbi wa. JJ Band ni bendi dada ya Skylight Band itakayokuwa inatumbuiza mjini Mwanza katika hotel...
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Hongera Mwalimu Dr. Nelson Ishengoma kwa kuhitimu masomo ya Shahada ya Udaktari
Dr Nelson Ishengoma akiwa katika pozi mara baada ya kutunukiwa shahada yake ya udaktari katika Mahafali ya Tano ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chimwaga vilivyopo Chuoni hapo.
Hongera sana Mwalimu wangu na sasa Mwanzo wa Jina linaanza na Dr. Sio kazi rahisi lakini Mungu ameweza kukusimamia na kukuongoza. Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe zaidi na zaidi. Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V1ydy5SgsUo/VHtkYmTaifI/AAAAAAAAdJc/5lRzQSUV2FM/s72-c/ishew.jpg)
HONGERA MWALIMU WANGU DR NELSON ISHENGOMA KWA KUHITIMU MASOMO YA SHAHADA YA UDAKTARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-V1ydy5SgsUo/VHtkYmTaifI/AAAAAAAAdJc/5lRzQSUV2FM/s1600/ishew.jpg)
Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
FURSA: Mafunzo ya kupiga ala za muziki kuanza tena mwezi Mei mwaka huu
Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi.
Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani.
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa...
10 years ago
Vijimambo01 Jan
Heri ya Mwaka Mpya - Karibu Ibada ya Kwanza 2015 - Jumapili 01/04/2015 Kuanzia Saa tisa na nusu alasiri
Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015.
Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya.
Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!
![Heri ya Mwaka Mpya! Ibada ya Kiswahili Columbus inawakaribisha wote kwenye ibada ya kwanza ya Kiswahili kwa mwaka mpya wa 2015. Karibuni wote tumwabudu Mungu na kumshukuru baraka zake ambazo zimetufikisha mwaka mpya. Tafadhali mkaribishe rafiki/jirani yako. Mbarikiwe!](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/UvO5wOXEsaHp0RsLa6A3IlNblTNHlte9RKKnlgJcRgZHRLHPFBBUiEY-Y9K0okmeWcL0dSK9cQhwS0MGgZm6eiFJwEheyGF8lgfqYFms1C_MrrHWBXmW1n-wTANFwUEv3A0RxDEqm96uV52cVej3nAsFIEUDxOymZYdLNNVHBBUxXGvLHIxIV6IOY_BP9CZ4w46FV7JyMpVEai5WZK1_iZtcOhshkWkEhTnMDa_Q6pilSo8AOM6xqYC_Tk9Ti8Mx_3qyPmZCtyBDSKwlvTnAmoIYU_xHx-KerdOi9CbddFgCntood8pvNkH1fLSUK7X5GnrgBMf4cwgf=s0-d-e1-ft#https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/q90/p235x350/1939524_849965588395753_7505627267144143561_n.jpg?oh=88621761a202daa559bfca32c6366523&oe=55433E0E&__gda__=1429298227_d3cbbf1c7a8d755f337bda3af9de7152)
9 years ago
Bongo519 Oct
Davido, wizkid na AKA wavuka mchujo wa kwanza kwenye kipengele cha ‘Best African Act’ tuzo za MOBO 2015
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Hadi June 2011, hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wenye uwezo wa kupiga mashuti duniani (+Video)
Imekuwa ni kawaida kukumbushana vitu mbalimbali vinayohusu soka mtu wangu wa nguvu na leo December 22, nimeona sio vibaya nikikusogezea list ya mastaa wa soka waliotamba na ambao bado wanatamba kwa kupiga mashuti makali golini mwa timu pinzani. Hii ndio list ya mastaa watano wa soka wanaongoza kwa kupiga mashuti golini. Roberto Carlos hakuna ambaye hamfahamu huyu […]
The post Hadi June 2011, hii ndio ilikuwa list ya wanasoka wenye uwezo wa kupiga mashuti duniani (+Video) appeared first on...
10 years ago
Habarileo02 Jan
Amani kwanza mwaka 2015
WAKATI Mwaka Mpya wa 2015 ulioanza jana, ukitarajiwa kuwa na pilika za kila aina, hasa za kisiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani na pia mchakato wa kupitisha Katiba mpya Inayopendekezwa, Watanzania wameaswa kutoyatumia vibaya matukio hayo muhimu na yenye mvuto kwa mwaka huu, kwani yanaweza kusababisha kuvunjika kwa amani ya nchi.