Hongera Mwalimu Dr. Nelson Ishengoma kwa kuhitimu masomo ya Shahada ya Udaktari
Dr Nelson Ishengoma akiwa katika pozi mara baada ya kutunukiwa shahada yake ya udaktari katika Mahafali ya Tano ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chimwaga vilivyopo Chuoni hapo.
Hongera sana Mwalimu wangu na sasa Mwanzo wa Jina linaanza na Dr. Sio kazi rahisi lakini Mungu ameweza kukusimamia na kukuongoza. Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe zaidi na zaidi. Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V1ydy5SgsUo/VHtkYmTaifI/AAAAAAAAdJc/5lRzQSUV2FM/s72-c/ishew.jpg)
HONGERA MWALIMU WANGU DR NELSON ISHENGOMA KWA KUHITIMU MASOMO YA SHAHADA YA UDAKTARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-V1ydy5SgsUo/VHtkYmTaifI/AAAAAAAAdJc/5lRzQSUV2FM/s1600/ishew.jpg)
Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Sungura huenda akapata shahada kwa kuhudhuria masomo
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oto4-hHdKDFANIRVda9sHcTzG1iSN72hOmKBS1-WTzhu-g3bp1wze9sl64dvbwD6qR0N9enZVZ-qsouW0llVpkyqcWEgH9K5/article26810021F64070500000578694_634x872.jpg?width=650)
GIGGS AMETUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA SAYANSI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiJafdJVtfrJjhaADvOVmcny5RCzctqWbl3qiz-EmYhZPBLGcoHdLJs0evp9*U3JReEb8qqKQcLbbqw8kx1MmCNn/kanyeshahada.jpg)
KANYE WEST ATUNUKIWA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-7-M2NaBuVhw/Vczp8xh1OiI/AAAAAAAHwZU/pV5TDhj3C-w/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zH0W867zq4Y/Vczp823ZtNI/AAAAAAAHwZQ/AmX_dWEMDyg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7t3xx-fl3FA/Vczp-_pNcPI/AAAAAAAHwZ8/JqfhHJF_lOo/s640/unnamed.jpg)
Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili
![](http://2.bp.blogspot.com/-RCv2jQP8O9M/Vczp98oxdAI/AAAAAAAHwZs/x22-LVv3RNQ/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
9 years ago
MichuziWANAFUNZI 70 WA UHANDISI NA UDAKTARI KUONDOKA NCHINI SEPTEMBA 22, 2015 KWENDA KWA MASOMO NCHINI CHINA
10 years ago
Bongo522 Apr
Davido kuhitimu shahada ya kwanza mwezi June 2015, ni baada ya kuacha shule mwaka 2011 kwaajili ya muziki
11 years ago
Dewji Blog14 May
Askofu Sixbert Paul wa Kanisa la Victorious kutunukia Shahada ya Udaktari ya Huduma Jumapili hii
![askofu 1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/askofu-1.jpg)
Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana na hafla ya kutunukiwa shahada la udaktari ya huduma.
Waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini, Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana na hafla ya kutunukiwa shahada la udaktari ya huduma litakalofanyika Jumapili hii.
Askofu Sixbert Paul wa kanisa la Victorious la mjini Moshi akizungumza na wandishi wa habari kuhusiana...
9 years ago
StarTV18 Dec
Masomo Ya Sayansi Ya Kijeshi  TMA, IAA kuanzishwa ngazi ya shahada, stashahada
Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi TMA kimesaini mkataba wa makubaliano na chuo cha IAA wa kuanzishwa program ya shahada pamoja na stashahada ya uzamili ya masomo ya sayansi ya kijeshi.
Programu hiyo ina lengo la kuzalisha maofisa watakaokuwa na weledi katika kufikiri na kutekeleza wajibu wao kwenye masuala ya ulinzi.
Makubaliano hayo yamesainiwa na mkuu wa chuo cha mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha Meja Jenerali Paul Masao na mkuu wa taasisi ya mafunzo ya uhasibu iliyopo mkoani...