Sungura huenda akapata shahada kwa kuhudhuria masomo
Mwanafunzi wa chuo kikuu asisitiza sungura wake kupewa shahada baada ya kuhudhuria masomo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Hongera Mwalimu Dr. Nelson Ishengoma kwa kuhitimu masomo ya Shahada ya Udaktari
Dr Nelson Ishengoma akiwa katika pozi mara baada ya kutunukiwa shahada yake ya udaktari katika Mahafali ya Tano ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chimwaga vilivyopo Chuoni hapo.
Hongera sana Mwalimu wangu na sasa Mwanzo wa Jina linaanza na Dr. Sio kazi rahisi lakini Mungu ameweza kukusimamia na kukuongoza. Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe zaidi na zaidi. Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V1ydy5SgsUo/VHtkYmTaifI/AAAAAAAAdJc/5lRzQSUV2FM/s72-c/ishew.jpg)
HONGERA MWALIMU WANGU DR NELSON ISHENGOMA KWA KUHITIMU MASOMO YA SHAHADA YA UDAKTARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-V1ydy5SgsUo/VHtkYmTaifI/AAAAAAAAdJc/5lRzQSUV2FM/s1600/ishew.jpg)
Kutoka Kwa Mwanafunzi wako Josephat Lukaza
9 years ago
StarTV18 Dec
Masomo Ya Sayansi Ya Kijeshi  TMA, IAA kuanzishwa ngazi ya shahada, stashahada
Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi TMA kimesaini mkataba wa makubaliano na chuo cha IAA wa kuanzishwa program ya shahada pamoja na stashahada ya uzamili ya masomo ya sayansi ya kijeshi.
Programu hiyo ina lengo la kuzalisha maofisa watakaokuwa na weledi katika kufikiri na kutekeleza wajibu wao kwenye masuala ya ulinzi.
Makubaliano hayo yamesainiwa na mkuu wa chuo cha mafunzo ya kijeshi kilichopo Monduli mkoani Arusha Meja Jenerali Paul Masao na mkuu wa taasisi ya mafunzo ya uhasibu iliyopo mkoani...
9 years ago
StarTV31 Dec
Serikali za Vijiji kuwachukulia hatua wazazi, walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo
Serikali za Vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuhakikisha kuwa zinawachukulia hatua za kisheria wazazi na walezi wa watoto watakaoshindwa kuhudhuria masomo hadi kuhitimu baada ya kuandikishwa kuanza elimu ya msingi pamoja na waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani.
Mkuu wa mkoa huo Dokta Parseko Kone ametoa agizo hilo baada ya kubainika kuwa katika Wilaya ya Mkalama pekee, jumla ya wanafunzi 383 wa shule za Msingi na Sekondari wameacha masomo yao kwa kipindi cha kuanzia Januari...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pYeZQR03gkY/U7bUBLiEFPI/AAAAAAAFu9I/LWf9XwOJflQ/s72-c/unnamed+(7).jpg)
WANAFUNZI WANAOCHUKUA MASOMO YA SHAHADA YA UZAMILI NA UZAMIVU KATIKA RELI KUTOKA CHUO KIKUU CHA SOUTHWEST JIATONG CHA NCHINI CHINA WATEMBELEA WIZARA YA UCHUKUZI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pYeZQR03gkY/U7bUBLiEFPI/AAAAAAAFu9I/LWf9XwOJflQ/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LcGVCc9x_lc/U7bUC5TjE1I/AAAAAAAFu9Y/RQ3JYVlEezw/s1600/unnamed+(8).jpg)
9 years ago
Michuzi31 Aug
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Sungura awashangaa wanaomshambulia
MBUNGE wa Viti Maalumu, Sabrina Sungura (CHADEMA), ameshangazwa na baadhi ya Watanzania hususani wanaotoka Mkoa wa Kigoma kumshambulia kwa matusi na kejeli kwa madai kuwa anapinga ujenzi wa Kituo cha...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ydSnOQi3wvk/VdSJlkdrTZI/AAAAAAAAJJA/E8U3UH2NU_g/s72-c/Fionnuala%2BGilsenan.jpg)
IRELAND YAWADHAMINI WATANZANIA 14 KWA SHAHADA YA UZAMILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ydSnOQi3wvk/VdSJlkdrTZI/AAAAAAAAJJA/E8U3UH2NU_g/s640/Fionnuala%2BGilsenan.jpg)
Na Daniel MbegaUBALOZI wa Ireland nchini Tanzania, umewapatia scholarship Watanzania 14 ili kusoma kozi mbalimbali za shahada ya uzamili (masters) na huku wanne kati yao wakienda kusoma vyuo vya nje ya nchi hasa University College Dublin, Dublin Institute of Technology na National...
10 years ago
CloudsFM06 Oct
MAHAKAMA HUENDA IKAZUIA KUFANYIKA KWA MISS TANZANIA 2014
MWANZILISHI wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Prashant Patel, amefungua maombi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akiomba mshirika wake, Hashim Ludenga, azuiliwe kuendelea kuendesha mashindano hayo yanayotarajiwa kufikia kilele chake Oktoba 11, mwaka huu.
Patel amewasilisha maombi hayo katika hati ya dharura kupitia wakili wake, Benjamin Mwakagamba, akidai Lundenga ana mpango wa kuendesha mashindano hayo kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, kinyume cha...