Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sungura awashangaa wanaomshambulia

MBUNGE wa Viti Maalumu, Sabrina Sungura (CHADEMA), ameshangazwa na baadhi ya Watanzania hususani wanaotoka Mkoa wa Kigoma kumshambulia kwa matusi na kejeli kwa madai kuwa anapinga ujenzi wa Kituo cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kingunge ataka wanaomshambulia Warioba Bunge la #Katiba sasa ‘waufyate’ [VIDEO]

Mzee Ngombale-Mwiru amewatahadharisha wajumbe wasivuke mipaka, akiwaeleza hawakwenda Dodoma kuipiga vijembe timu ya Warioba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sungura alaani mtoto kubakwa, kuuawa

NAIBU Waziri kivuli wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sabrina Sungula, amelaani kitendo cha mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Rabbit Kaka Sungura — Uko tu Sawa

Video mpya kutoka kwa msanii toka Kenya anaitwa Rabbit Kaka Sungura ngoma inatwa “Uko tu Sawa”

 

11 years ago

Tanzania Daima

SABRINA SUNGURA: Ukombozi wa wanawake kisiasa umefika

“NAPENDA kuwahamasisha wanawake wakubwa kwa wadogo wajijengee tabia ya ujasiri na kujiamini kuwania nafasi za uongozi wa kisiasa katika chaguzi zijazo ili waweze kuwatetea Watanzania wanyonge na kuwaletea ukombozi.” Hii...

 

9 years ago

Mwananchi

Kanda ya ziwa yaongoza ugonjwa wa mdomo sungura

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Mwanza, Sekou - Toure, Onesmo Rwakendelya amesema mikoa ya Kanda ya Ziwa inaongoza kwa kujifungua watoto wenye ugonjwa wa mdomo sugura.

 

5 years ago

BBCSwahili

Sungura huenda akapata shahada kwa kuhudhuria masomo

Mwanafunzi wa chuo kikuu asisitiza sungura wake kupewa shahada baada ya kuhudhuria masomo

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA WAMESHAURIWA KUJIHUSISHA NA UFUGAJI WA SUNGURA ILI WAWEZE KUJIONGEZEA KIPATO

 .Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya The Dila Africa, Jumba Dickson,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya ufugaji wa sungura unaweza ukawasaidia wakulima katika kujiongezea kipato kwa mbali na kuuza nyama yake lakini pia wana uwezo wa kuuza kinyesi, mkojo pamoja na ngozi yake,katika ziara ya mafunzo kuhusu mradi huo katika eneo la Kivungwi kata ya Vigwaza, Mkoa wa Pwani.  Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya The Dila Africa, Jumba Dickson, akiwaonesha waandishi moja ya sungura...

 

10 years ago

Mtanzania

Johari awashangaa marafiki zake

johariGNA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI wa Bongo Movie, Blandina Chagula ‘Johari’, ameshangaza kutokufahamu uhusiano wa urafiki na watu maarufu baada ya kudai anashangaa kuwa na marafiki wengi kwa sasa.
Msanii huyo alifikia hatua hiyo baada ya kusema kuwa kabla ya kuingia kwenye uigizaji hakuwa na marafiki lakini baada ya kuingia katika fani hiyo na kuwa maarufu amekuwa na idadi kubwa ya marafiki.
“Najulikana kwa sasa na naamini ustaa wangu na kazi zangu nilizofanya kwa umaridadi ndio unaonipa marafiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu awashangaa wachungaji wa magari

MAKAMU Askofu Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Magnus Muhiche, amesema kuwa anashindwa kuwaelewa baadhi ya wachungaji wanaotanguliza harambee za ununuzi wa magari badala ya kujenga makanisa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani