Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sungura alaani mtoto kubakwa, kuuawa

NAIBU Waziri kivuli wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sabrina Sungula, amelaani kitendo cha mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi jijini Dar es Salaam...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa kwa kubakwa

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka 13, mkazi wa  Kijiji cha Nyangoto, wilayani Tarime, amefariki dunia baada ya kubakwa. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya, Justus Kamugisha, alisema jana...

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto anywa sumu baada ya kunusurika kubakwa

JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mtoto mmoja (16) ambaye ni mkazi wa barabara ya 20 jiijini humo, kwa kosa la kunywa sumu kwa lengo la kutaka kujiua, baada ya kunusurika kubakwa na baba yake wa kambo.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamwa yalaani mtoto wa miaka minne kubakwa

Kitendo cha kikatili ambacho inadaiwa kilifanywa na mkazi mmoja wa Mbezi kwa Msuguri mjini hapa cha kumlawiti mtoto wa miaka minne, kimeendelea kulaaniwa na taasisi tofauti.

 

11 years ago

GPL

MTOTO ALIA NA KUSEMA: NIMECHOKA KUBAKWA NA BABA!

Stori: JOSEPH NGILISHO, Arusha
AMA kweli dunia sasa inaserereka! Katika hali ya kusikitisha, baba mzazi mwenye familia ya watoto watatu, mkazi wa Kambi ya Fisi jijini hapa, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kumzaa hadi mtoto akafungua kinywa na kusema: “Nimechoka kubakwa na baba.” Mtoto aliyebakwa na  baba yake mzazi. Tukio hilo lililobumburuka hivi karibuni limewaacha watu vinywa wazi...

 

9 years ago

Dewji Blog

NEWS ALERT: Mtoto wa miaka 5 apoteza maisha baada ya kubakwa na watu wasiojulikana Mkoani Kigoma!

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumzia tukio la mtoto kubakwa.2

Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya tukio la kubakwa kwa mtoto wa miaka 5, lililotokea jana mkoani humo. (Picha na mwanahabari wetu)

Na Mwandishi Wetu

[KIGOMA] Mtoto mmoja alitambulika kwa  majina, Asifiwe Amos mwenye miaka mitano (5) na mkazi wa kijiji cha Katuguru Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulikana na kupelekea kifo chake hicho.

Akizungumza na Waandishi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto mchanga anusurika kuuawa Kenya

Mila na desturi za Jamii ya Bukusu huwauwa Watoto waliotokana na mahusiano ya maharimu au jamaa wa familia moja

 

10 years ago

GPL

HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea kwa zaidi ya miezi sita huku mtoto wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tatu Ntimizi, Said Ntimizi akidaiwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa wa mauaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sungura awashangaa wanaomshambulia

MBUNGE wa Viti Maalumu, Sabrina Sungura (CHADEMA), ameshangazwa na baadhi ya Watanzania hususani wanaotoka Mkoa wa Kigoma kumshambulia kwa matusi na kejeli kwa madai kuwa anapinga ujenzi wa Kituo cha...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Rabbit Kaka Sungura — Uko tu Sawa

Video mpya kutoka kwa msanii toka Kenya anaitwa Rabbit Kaka Sungura ngoma inatwa “Uko tu Sawa”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani