Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto afa kwa kubakwa

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka 13, mkazi wa  Kijiji cha Nyangoto, wilayani Tarime, amefariki dunia baada ya kubakwa. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya, Justus Kamugisha, alisema jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mtoto afa kwa kuzama bondeni

KARIM Ramadhan (15), mkazi wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani, amekufa baada ya kuzama kwenye bonde la shamba la mpunga. Mtoto huyo alizama alipokuwa akicheza na wenzake, ambapo alikuwa akijaribu kuvua samaki kwenye bwawa hilo lililopo Magereza. Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei alithibitisha tukio hilo. Alisema kabla ya kifo hicho, mtoto huyo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifafa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sungura alaani mtoto kubakwa, kuuawa

NAIBU Waziri kivuli wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sabrina Sungula, amelaani kitendo cha mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

GPL

MTOTO ALIA NA KUSEMA: NIMECHOKA KUBAKWA NA BABA!

Stori: JOSEPH NGILISHO, Arusha
AMA kweli dunia sasa inaserereka! Katika hali ya kusikitisha, baba mzazi mwenye familia ya watoto watatu, mkazi wa Kambi ya Fisi jijini hapa, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kumzaa hadi mtoto akafungua kinywa na kusema: “Nimechoka kubakwa na baba.” Mtoto aliyebakwa na  baba yake mzazi. Tukio hilo lililobumburuka hivi karibuni limewaacha watu vinywa wazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Tamwa yalaani mtoto wa miaka minne kubakwa

Kitendo cha kikatili ambacho inadaiwa kilifanywa na mkazi mmoja wa Mbezi kwa Msuguri mjini hapa cha kumlawiti mtoto wa miaka minne, kimeendelea kulaaniwa na taasisi tofauti.

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto anywa sumu baada ya kunusurika kubakwa

JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mtoto mmoja (16) ambaye ni mkazi wa barabara ya 20 jiijini humo, kwa kosa la kunywa sumu kwa lengo la kutaka kujiua, baada ya kunusurika kubakwa na baba yake wa kambo.

 

9 years ago

Dewji Blog

NEWS ALERT: Mtoto wa miaka 5 apoteza maisha baada ya kubakwa na watu wasiojulikana Mkoani Kigoma!

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumzia tukio la mtoto kubakwa.2

Kamanda wa Polisi Mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya tukio la kubakwa kwa mtoto wa miaka 5, lililotokea jana mkoani humo. (Picha na mwanahabari wetu)

Na Mwandishi Wetu

[KIGOMA] Mtoto mmoja alitambulika kwa  majina, Asifiwe Amos mwenye miaka mitano (5) na mkazi wa kijiji cha Katuguru Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulikana na kupelekea kifo chake hicho.

Akizungumza na Waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa maji

MTOTO Yunus Abijan (4) mkazi wa Keko Mwanga, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi...

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afa kisimani Dar

MTOTO Omar Said, mwenye umri wa miaka mitatu, amekutwa amekufa baada ya kutumbukia ndani ya kisima cha maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto atumbukia kisimani, afa

MTOTO Omari Hamduni (3) mkazi wa Keko Magurumbasi jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani