Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto afa maji

MTOTO Yunus Abijan (4) mkazi wa Keko Mwanga, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTOTO AFA MAJI AKIENDA KANISANI

Stori: Dustan  Shekidele,Morogoro MTOTO Prince lsaack (10) mwanafunzi wa darasa la 5, mkazi wa Kata ya Kihonda, Maghorofani mkoani hapa, amefariki dunia wakati akiogelea mtoni na wenzake. Mwili wa Prince lsaack ukiwa unaelea majini. Prince alifikwa na mauti Jumapili iliyopita saa 7 mchana wakati akienda kanisani lakini kabla ya kufika huko waliamua kuogelea katika Mto Ngerengere bila kujua hatari iliyokuwa mbele yake.
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa maji Mto Kizinga

MTOTO Khamis Sungura (11) mkazi wa Mbagala Kiburugwa jijini Dar es Salam amefariki dunia juzi baada ya kuzolewa na maji yaliyokuwa yakitiririka kuelekea Mto Kizinga kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanaume afa maji

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam juzi katika matukio tofauti likiwemo la kufa maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi saa 10 jioni,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanachuo afa maji

MWANAFUNZI wa Chuo cha Utumishi jijini Dar es Salaam, Deus Josephat (21), mkazi wa Mjimwema, amefariki dunia alipokuwa akiogelea na wenzake ufukweni mwa Bahari ya Hindi eneo la Maweni Beach...

 

10 years ago

Mwananchi

Afa maji Sikukuu ya Krismasi Tanga

Mkazi wa Pongwe jijini Tanga, Hamis Adam (17) anahofiwa kufa maji baada ya kuzama katika Bahari ya Hindi wakati akiogelea na wenzake na mwili wake haujapatikana.

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afa kisimani Dar

MTOTO Omar Said, mwenye umri wa miaka mitatu, amekutwa amekufa baada ya kutumbukia ndani ya kisima cha maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa kwa kubakwa

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka 13, mkazi wa  Kijiji cha Nyangoto, wilayani Tarime, amefariki dunia baada ya kubakwa. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya, Justus Kamugisha, alisema jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto atumbukia kisimani, afa

MTOTO Omari Hamduni (3) mkazi wa Keko Magurumbasi jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo alisema...

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afa kwenye sufuria ya chai

MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja, wilayani Bunda katika Mkoa wa Mara, amekufa baada ya kutumbukia kwenye sufuria ya chai iliyokuwa jikoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani