Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto afa kwenye sufuria ya chai

MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja, wilayani Bunda katika Mkoa wa Mara, amekufa baada ya kutumbukia kwenye sufuria ya chai iliyokuwa jikoni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ACT Walia Kiongozi wao Kuuawa......Ni yule Aliyechinjwa Kinyama na Kupikwa kwenye Sufuria kama Nyama ya Kuku

CHAMA cha ACT-Tanzania kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria wote waliohusika na tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kitongoji cha Masigo wilayani Mlele mkoani Katavi, Christian Kahongo.Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa ACT-Tanzania, Samson Mwigamba, ilieleza kuwa chama hicho kinalaani mauaji hayo ya kinyama ambayo hayaendani na haki za binadamu.Alisema walimkata kichwa na kukitenganisha kabisa na kiwiliwili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa maji

MTOTO Yunus Abijan (4) mkazi wa Keko Mwanga, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alisema juzi...

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afa kisimani Dar

MTOTO Omar Said, mwenye umri wa miaka mitatu, amekutwa amekufa baada ya kutumbukia ndani ya kisima cha maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa kwa kubakwa

MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka 13, mkazi wa  Kijiji cha Nyangoto, wilayani Tarime, amefariki dunia baada ya kubakwa. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya, Justus Kamugisha, alisema jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto atumbukia kisimani, afa

MTOTO Omari Hamduni (3) mkazi wa Keko Magurumbasi jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo alisema...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI


Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI

Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

11 years ago

GPL

MTOTO AFA MAJI AKIENDA KANISANI

Stori: Dustan  Shekidele,Morogoro MTOTO Prince lsaack (10) mwanafunzi wa darasa la 5, mkazi wa Kata ya Kihonda, Maghorofani mkoani hapa, amefariki dunia wakati akiogelea mtoni na wenzake. Mwili wa Prince lsaack ukiwa unaelea majini. Prince alifikwa na mauti Jumapili iliyopita saa 7 mchana wakati akienda kanisani lakini kabla ya kufika huko waliamua kuogelea katika Mto Ngerengere bila kujua hatari iliyokuwa mbele yake.
...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto afa maji Mto Kizinga

MTOTO Khamis Sungura (11) mkazi wa Mbagala Kiburugwa jijini Dar es Salam amefariki dunia juzi baada ya kuzolewa na maji yaliyokuwa yakitiririka kuelekea Mto Kizinga kutokana na mvua zilizokuwa zikinyesha....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani